Hapa nilipofika nimechoka, nisije pata ugonjwa unaokosa dawa. Wanawake mnataka nini?

[emoji23][emoji23] alijuaje ana kauboo kdogo ?

Hata nyie mpo hivyo hivyo mnapenda wanawake wenye mahips makubwa ,wanene wembamba,wenye chura wasio na chura

Siku zote mtu anataman kitu ambacho hana [emoji23]
Naked truth..mtu natamani kile ambacho hana.

Ndio nature ya mwanadamu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwahapa nilipofika panatosha,usijefika ugonjwa nikakosa daawa.
Najua ninakiu na ww nitakunywa majii nituliee..

OTTU JAZZ BAND-BINTI MARINGO.
 
Unaweza ukawa na libolo lizuri na usijue kulitumia.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… aione shosti wangu mmoja humu.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…matumizi mabovu ya rasilimali
 
Ndo Maana mpk leo hatujui mwanamke na shetani waliongea mangapi pale edeni
 
They are unpredictable.......tuishi nao kwa akili siyo jeuri.....our almight God said..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…