Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

daaaa,may bee,but tulishapotezeanaa
Mkuu hao mademu wa chuo ni PASUA KICHWA..bora wanaokwenda chuo na kurudi HOME... Ila hao wa hostel wengi wanaishia kama WANA NDOA... wakiwa hostel....yaani DUME linaishi na BINTI kama mkewe...wakati wazazi wanaamini BINTI YAO YUPO CHUO...au mchumba anaamini MCHUMBA wake yupo CHUO.. KUMBE kafungiwa na DUME na anapika na kupakuwa...NA Kufanya shughuli zote kama MKE WA MTU..nawapa POLE WENYE wachumba VYUONI...tena HOSTEL
 
Wajinga ndio waliwaoooooo.....
 
Hicho ndo chuo gani kwanza??ni cha single sex kwani?hakuna madem hapo na wewe ukamatie??
 
kweli mkuu
 
Bado UE za Statistics zinafanyikia Freedom Square?
Msalimie Mr Sembuche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…