Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Nijambo lakawaidatu kwenye mapenzi kwani unaweza kua namke ndani yanyumba laki upatitendo mpaka uanze kukumbusha wewe. Ila jitaidi kuomba ushauli kwawatu waliekua namke [emoji106]
 
Pole sana mkuu, Ushauri wangu'' Soma kwa bidii sana, Hawa viumbe hawaeleweki kabisa, kuwa bize na masomo, huyo si wako tena.
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Acha utoto,chunguza wanachuo wenzio wa kike hapo ulipo,wanavyoishi ndivyo anavyoishi na huyo wa kwako huko chuoni alipo,unasoma nao na haujawachunguza tu?ukue bhana
 
Amechoshwa kweli sasa asikuambie... someni kwanza...
 
Ifike kipindi tuache kujifariji na miseme ya kizamani. Eti "Distance is not a problem to one who love each other"

Bullshit. Mkuu ukishakuwa mbali na mpenzi wako hasa ambao ji wapenzi sio wachumba,basi mchukulie kama watu wengine ulio na namba zao. Anytime anything can happen.

Tafuta mwingine SUA hapo.
 
Chai bila sukari, ni mateso kwa kinywa....kama huna sukari muache mtoto wa watu asome usimsumbue
 
Don't love too soon.
Don't trust too fast.
Don't quit too early.
Don't expect too high.
Don't talk too much
 
Back
Top Bottom