Hapa sampuli za maji ya mto Mara zipelekwe baadhi TBS, GCLA, NEMC, SGS, Intertek na zingine kwenye maabara za vyuo zikapimwe upya

Hapa sampuli za maji ya mto Mara zipelekwe baadhi TBS, GCLA, NEMC, SGS, Intertek na zingine kwenye maabara za vyuo zikapimwe upya

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Kwakua majibu ya ripoti yamekua na utata kidogo, ni vyema sampuli za maji ya mto mara zifanyiwe uchunguzi wa maabara upya.

Sidhani kama swala la kuchunguza maji lilihitaji kuunda tume. Analysis za maji ni kitu kidogo sana. Anyway ningekua ni mimi ningechukua sampuli za maji na kuzipeleka kwenye hizo maabara nilizotaja.

Maabara tunazo za kutosha, tunaweza peleka sampuli zetu huko. Kisha tulinganishe majibu.

Kama samaki wanakufa basi hayo maji sii salama kwa matumizi ya wanyama na binadamu. Hata kama binadamu hawawezi kudhulika leo huko mbeleni wanaweza kudhulika hata kwa magonjwa ya kansa.

Mimi nitaomba nijikite kwenye uwepo wa mafuta kwenye maji. Sina hakika kama mafuta yanaweza kupelekea samaki kufa. May be kuna vitu vingine tofauti na mafuta. Ndio maana kiukweli nashauri maji yapimwe upya kwenye hizo maabara.

Ili kuokoa viumbe wengine kwenye hayo maji ni vyema hili swala lichukuliwe kwa uzito wake.
 
Kwakua majibu ya ripoti yamekua na utata kidogo, ni vyema sampuli za maji ya mto mara zifanyiwe uchunguzi wa maabara upya.

Sidhani kama swala la kuchunguza maji lilihitaji kuunda tume. Analysis za maji ni kitu kidogo sana. Anyway ningekua ni mimi ningechukua sampuli za maji na kuzipeleka kwenye hizo maabara nilizotaja.

Maabara tunazo za kutosha, tunaweza peleka sampuli zetu huko. Kisha tulinganishe majibu.

Kama samaki wanakufa basi hayo maji sio salama kwa matumizi ya wanyama na binadamu. Hata kama binadamu hawawezi kudhulika leo huko mbeleni wanaweza kudhulika hata kwa magonjwa ya kansa.

Mimi nitaomba nijikite kwenye uwepo wa mafuta kwenye maji. Sina hakika kama mafuta yanaweza kupelekea samaki kufa. May be kuna vitu vingine tofauti na mafuta. Ndio maana kiukweli nashauri maji yapimwe upya kwenye hizo maabara.

Ili kuokoa viumbe wengine kwenye hayo maji ni vyema hili swala lichukuliwe kwa uzito wake.
Kuna mchezo mchafu sana kwa baadhi ya watu wakikosa fursa. Huwa wana hamia kwenye fitna. Tarime, yale majani ambayo yakisagwa na kuwekwa mtoni, samaki wanakufa na kuelea yanaitwaje?
Kama shida ipo, basi aliyekutwa na ngozi ndio kala nyama. Iweje kama kuna kulazimisha kuwa lazima shida itokee pale pale ambako wala hawahusiki?
 
Kwakua majibu ya ripoti yamekua na utata kidogo, ni vyema sampuli za maji ya mto mara zifanyiwe uchunguzi wa maabara upya.

Sidhani kama swala la kuchunguza maji lilihitaji kuunda tume. Analysis za maji ni kitu kidogo sana. Anyway ningekua ni mimi ningechukua sampuli za maji na kuzipeleka kwenye hizo maabara nilizotaja.

Maabara tunazo za kutosha, tunaweza peleka sampuli zetu huko. Kisha tulinganishe majibu.

Kama samaki wanakufa basi hayo maji sii salama kwa matumizi ya wanyama na binadamu. Hata kama binadamu hawawezi kudhulika leo huko mbeleni wanaweza kudhulika hata kwa magonjwa ya kansa.

Mimi nitaomba nijikite kwenye uwepo wa mafuta kwenye maji. Sina hakika kama mafuta yanaweza kupelekea samaki kufa. May be kuna vitu vingine tofauti na mafuta. Ndio maana kiukweli nashauri maji yapimwe upya kwenye hizo maabara.

Ili kuokoa viumbe wengine kwenye hayo maji ni vyema hili swala lichukuliwe kwa uzito wake.
Mafuta yaweka utando na kuzuia hewa kuingia na inaweza kuua viumbe wa majini
 
Kwakua majibu ya ripoti yamekua na utata kidogo, ni vyema sampuli za maji ya mto mara zifanyiwe uchunguzi wa maabara upya.

Sidhani kama swala la kuchunguza maji lilihitaji kuunda tume. Analysis za maji ni kitu kidogo sana. Anyway ningekua ni mimi ningechukua sampuli za maji na kuzipeleka kwenye hizo maabara nilizotaja.

Maabara tunazo za kutosha, tunaweza peleka sampuli zetu huko. Kisha tulinganishe majibu.

Kama samaki wanakufa basi hayo maji sii salama kwa matumizi ya wanyama na binadamu. Hata kama binadamu hawawezi kudhulika leo huko mbeleni wanaweza kudhulika hata kwa magonjwa ya kansa.

Mimi nitaomba nijikite kwenye uwepo wa mafuta kwenye maji. Sina hakika kama mafuta yanaweza kupelekea samaki kufa. May be kuna vitu vingine tofauti na mafuta. Ndio maana kiukweli nashauri maji yapimwe upya kwenye hizo maabara.

Ili kuokoa viumbe wengine kwenye hayo maji ni vyema hili swala lichukuliwe kwa uzito wake.
Hii ya kinyesi inatia shaka sana ng'ombe hunya kwa muachano na mtawanyiko na maji ya mto mara ni mengi na hayabebi hicho kinyesi kwa mara moja.
 
Propesa alisema Ng'ombe wakikojolea maji Samaki wanakufa.
 
Back
Top Bottom