Hapa sijapigwa tukio kweli?

Hivyo vitu visikuumize kabisa alafu kama n mdau wa kutuma magazeti baada ya tukio kama hilo acha, mpe uhuru inaonekana umezama kwake sana, kama we ni mwanaume make sure huyo Ke asilijue hilo maana akiamua kukunyoosha atakunyoosha kweli kweli.
Uko sahihi mkuu nilituma gazeti ila hii asubuhi amenipigia anadai ilikuwa shda ya network so alizima cm kwa muda ili aiwashe tena ndio kupitiwa na usingizi ila kwa hili la magazeti itabidi nibadilike niko hvyo
 
Uko sahihi mkuu nilituma gazeti ila hii asubuhi amenipigia anadai ilikuwa shda ya network so alizima cm kwa muda ili aiwashe tena ndio kupitiwa na usingizi ila kwa hili la magazeti itabidi nibadilike niko hvyo
badilika vinginevyo hali inaweza ikaanza kuwa mbaya kwako, kuna vitu vingine uwe unavipotezea, kulikuwa hakuna haja ya kuanza kumlalamikia wakati alishakupa muda wa kuongea na ukingatia muda umeenda anahitaji kupumzika. Ukiwa unamzingatia sana kwenye mawasiliano kila saa nayo ni kero mpe muda wa kukumisi vinginevyo atabuni mbinu kama hizo ili apate kupumzika na kukuepuka kwa muda.
Kama simu zako ni nyingi kuliko miamala pia hili ni tatizo 😅 (natania)
 
Iko haja ya kubadilika
 
Hivi ni kwanini mtu akichelewa kujibu sms au kupokea simu tunahisi mabaya tu..??
 
Na akumbuke kuhudhuria vipimo vya HIV kila baada ya miezi mitatu ya mahusiano, maake hawa wadudu tulionao ni pasua kichwa
Azuma mara mbili kwa wiki sio mbaya
 
Ukishakuwa mwanaJF kuna namna unakuwa overthinker hata kwa mambo madogo
Hapo nakataa.

Overthinking ni weakness ya mtu tu wala haihusiani na JF. Ni personality disorder. Moja ya dalili za mtu asiejiamini.

And mostly ukiona mtu kama huyu mleta mada anaanza ku overthink kwenye hiyo situation ujue ndio jinsi yeye huwa anafanya akiwa na makandokando yake so anataka akili yake inamtuma ku relate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…