Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
- Thread starter
- #41
Mnaweza kunusa mkuuSasa wewe mwenyewe haujui kimetokea nini sisi tutajuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaweza kunusa mkuuSasa wewe mwenyewe haujui kimetokea nini sisi tutajuaje?
Inawezekana nimekula za usoPole yako my
Inawezekana nimekula za uso
Uko sahihi mkuuWala hata usiwaze sanq kama anakusaliti ipo siku utajua mpe muda
Huwa inatokea mara moja mojaSaa tano usiku mnachat tu daah
Watu washampeleka rufiji mtoto wa watuHabarini za asubuhi,
Jana usiku nilikuwa nachat WhatsApp na mwenzangu, wakati tunaendelea nikamuga kidogo niende washroom one time mida kama tano kasoro narudi tuendelee na mazungumzo ndio hakupatikana tena.
Maswali niliyojiuliza kama ishu ni chaji kwanini asingebust simu akanijulisha?
Hapo hapo nikawa na swali jingine, kama ni chaji huwa unajua kuwa hapa sitoboi kwanini hakunijulisha pia mapema kuwa labda hatuna umeme na chaji inaweza kuniishia muda wowote, ili angalau niwe na la kujifariji.?
Wasiwasi umezidi zaidi baada ya kukuta msg zangu zimepokelewa saa 9 usiku, najiuliza tu kulikuww na haja gani ya kuwasha simu mida hiyo?
Wekeni michango yenu maana michango yenu ndio itanisaidia kufanikisha shughuhuli yangu
InawezekanaWatu washampeleka rufiji mtoto wa watu
Ni ngumu.hapo tutakuwa tunamuhukumu.najua unataka kuambiwa umesalitiwa na hayo ndio mawazo yako.je kama sio kweli?Mnaweza kunusa mkuu
Usingizi ulimdaka, acha wivu bas
Haya yalinikuta sanaaa nilipokua kwenye penzi uchwara, nashukuru saivi niko huru.Habarini za asubuhi,
Jana usiku nilikuwa nachat WhatsApp na mwenzangu, wakati tunaendelea nikamuga kidogo niende washroom one time mida kama tano kasoro narudi tuendelee na mazungumzo ndio hakupatikana tena.
Maswali niliyojiuliza kama ishu ni chaji kwanini asingebust simu akanijulisha?
Hapo hapo nikawa na swali jingine, kama ni chaji huwa unajua kuwa hapa sitoboi kwanini hakunijulisha pia mapema kuwa labda hatuna umeme na chaji inaweza kuniishia muda wowote, ili angalau niwe na la kujifariji.?
Wasiwasi umezidi zaidi baada ya kukuta msg zangu zimepokelewa saa 9 usiku, najiuliza tu kulikuww na haja gani ya kuwasha simu mida hiyo?
Wekeni michango yenu maana michango yenu ndio itanisaidia kufanikisha shughuhuli yangu
Hongera mkuuHaya yalinikuta sanaaa nilipokua kwenye penzi uchwara, nashukuru saivi niko huru.
Mayaya au malayaWanawake wote ni Mayaya under favourable conditions, usibishe ni swala la muda tu.
DahNilitaka kushangaa! View attachment 2848831
Hiyo hiyo mkuuMayaya au malaya