Hapa sijapigwa tukio kweli?

Hapa sijapigwa tukio kweli?

Habarini za asubuhi,

Jana usiku nilikuwa nachat WhatsApp na mwenzangu, wakati tunaendelea nikamuga kidogo niende washroom one time mida kama tano kasoro narudi tuendelee na mazungumzo ndio hakupatikana tena.

Maswali niliyojiuliza kama ishu ni chaji kwanini asingebust simu akanijulisha?

Hapo hapo nikawa na swali jingine, kama ni chaji huwa unajua kuwa hapa sitoboi kwanini hakunijulisha pia mapema kuwa labda hatuna umeme na chaji inaweza kuniishia muda wowote, ili angalau niwe na la kujifariji.?

Wasiwasi umezidi zaidi baada ya kukuta msg zangu zimepokelewa saa 9 usiku, najiuliza tu kulikuww na haja gani ya kuwasha simu mida hiyo?

Wekeni michango yenu maana michango yenu ndio itanisaidia kufanikisha shughuhuli yangu
Watu washampeleka rufiji mtoto wa watu
 
Habarini za asubuhi,

Jana usiku nilikuwa nachat WhatsApp na mwenzangu, wakati tunaendelea nikamuga kidogo niende washroom one time mida kama tano kasoro narudi tuendelee na mazungumzo ndio hakupatikana tena.

Maswali niliyojiuliza kama ishu ni chaji kwanini asingebust simu akanijulisha?

Hapo hapo nikawa na swali jingine, kama ni chaji huwa unajua kuwa hapa sitoboi kwanini hakunijulisha pia mapema kuwa labda hatuna umeme na chaji inaweza kuniishia muda wowote, ili angalau niwe na la kujifariji.?

Wasiwasi umezidi zaidi baada ya kukuta msg zangu zimepokelewa saa 9 usiku, najiuliza tu kulikuww na haja gani ya kuwasha simu mida hiyo?

Wekeni michango yenu maana michango yenu ndio itanisaidia kufanikisha shughuhuli yangu
Haya yalinikuta sanaaa nilipokua kwenye penzi uchwara, nashukuru saivi niko huru.
 
Wanawake wote ni Mayaya under favourable conditions, usibishe ni swala la muda tu.
 
Nilitaka kushangaa!
Screenshot_2023-12-21-09-27-26-68.jpg
 
Back
Top Bottom