Hapa Tanzania hakuna kitu kinachoitwa mke wa mtu ni Nadharia tu

Hapa Tanzania hakuna kitu kinachoitwa mke wa mtu ni Nadharia tu

Yaani tujikite kutafta riziki zetu za halali na hela

Hapa Tanzania hakuna kitu kinaitwa mke wa mtu.

Bora niendelee na Maisha yangu ya utawa tu

Maana hizi ndoa zenu Ni zaidi ya vichekesho.

Pole ndugu yangu hiyo pesa yako umetoa mahali Bora ungemvutia Mama yako maji ya dawasa .
💯🤝

Tuendelee tu na hii kampeni ya KIJANA KATAA NDOA nimeona somo limeshaanza kueleweka
 
Hapa kuna mke wa mtu ananimendea si poa kqbxaa...yaan katafuta namba zangu anaanza kunitumia misms kwamba ananipenda..mara ana wivu na mimi hadi huwa ananiota...cha ajabu sina hata mazoea nae ila ni pisi moya makini.sanaa....noana kabxa huu mtego naenda kushindwa kuunasua
 
Yaani tujikite kutafta riziki zetu za halali na hela

Hapa Tanzania hakuna kitu kinaitwa mke wa mtu.

Bora niendelee na Maisha yangu ya utawa tu

Maana hizi ndoa zenu Ni zaidi ya vichekesho.

Pole ndugu yangu hiyo pesa yako umetoa mahali Bora ungemvutia Mama yako maji ya dawasa .
Hahaha
 
Hapa kuna mke wa mtu ananimendea si poa kqbxaa...yaan katafuta namba zangu anaanza kunitumia misms kwamba ananipenda..mara ana wivu na mimi hadi huwa ananiota...cha ajabu sina hata mazoea nae ila ni pisi moya makini.sanaa....noana kabxa huu mtego naenda kushindwa kuunasua
Mrejesho
 
Back
Top Bottom