Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
💯🤝Yaani tujikite kutafta riziki zetu za halali na hela
Hapa Tanzania hakuna kitu kinaitwa mke wa mtu.
Bora niendelee na Maisha yangu ya utawa tu
Maana hizi ndoa zenu Ni zaidi ya vichekesho.
Pole ndugu yangu hiyo pesa yako umetoa mahali Bora ungemvutia Mama yako maji ya dawasa .
HahahaYaani tujikite kutafta riziki zetu za halali na hela
Hapa Tanzania hakuna kitu kinaitwa mke wa mtu.
Bora niendelee na Maisha yangu ya utawa tu
Maana hizi ndoa zenu Ni zaidi ya vichekesho.
Pole ndugu yangu hiyo pesa yako umetoa mahali Bora ungemvutia Mama yako maji ya dawasa .
MrejeshoHapa kuna mke wa mtu ananimendea si poa kqbxaa...yaan katafuta namba zangu anaanza kunitumia misms kwamba ananipenda..mara ana wivu na mimi hadi huwa ananiota...cha ajabu sina hata mazoea nae ila ni pisi moya makini.sanaa....noana kabxa huu mtego naenda kushindwa kuunasua
HahahaMwendo wa kutombewa tu, naona unapishana na mke wa rafiki yako hapo Lodge ana bonge la tako anaenda kupigwa Mambo,
PoleHa ha ha hata mimi najuta milion mbili nilizotoa mahari kwa X wife wangu