MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Sawa sawa, niko mkoani ndiyo maana nimeuliza hivyo.full full zinapigwa,nmeskia mbili leo
Konki konkiiiiiKudadeiki WCB noma sana,
Ni jiwe baada ya jiwe, ngomaa baada ya ngoma huku kukiwa pe ya Konki konki konki master kwa mbali, yaani ni full full hata wale waliobaniwa airtime,huku unamsikiliza Matonya,Dudu mara Fid mara Langa yaani huku playground iko tambarare hata wale tuliowapenda lkn hatukuwasikia sababu walikuwa na matatizo na Ruge huku ngoma zao zinapigwa mwanzo mwisho mara komando Jide aisee.
Kwa mara ya kwanza WCB anaenda kumaliza hii monopoly
Kudadeiki WCB noma sana,
Ni jiwe baada ya jiwe, ngomaa baada ya ngoma huku kukiwa pe ya Konki konki konki master kwa mbali, yaani ni full full hata wale waliobaniwa airtime,huku unamsikiliza Matonya,Dudu mara Fid mara Langa yaani huku playground iko tambarare hata wale tuliowapenda lkn hatukuwasikia sababu walikuwa na matatizo na Ruge huku ngoma zao zinapigwa mwanzo mwisho mara komando Jide aisee.
Kwa mara ya kwanza WCB anaenda kumaliza hii monopoly
Ipe muda hata EFM ilipoanza kelele zilikuwa kuwa Clouds kwisha kazi yake... Time will tellKudadeiki WCB noma sana,
Ni jiwe baada ya jiwe, ngomaa baada ya ngoma huku kukiwa pe ya Konki konki konki master kwa mbali, yaani ni full full hata wale waliobaniwa airtime,huku unamsikiliza Matonya,Dudu mara Fid mara Langa yaani huku playground iko tambarare hata wale tuliowapenda lkn hatukuwasikia sababu walikuwa na matatizo na Ruge huku ngoma zao zinapigwa mwanzo mwisho mara komando Jide aisee.
Kwa mara ya kwanza WCB anaenda kumaliza hii monopoly
Wanatumia Frequency ya Coconut FM ambayo ilisajiliwa Zanzibar..Hawa Jamaa Wamepataje Frequency Wakati Tcra Wamesema Hawatatoa Tena Kwa Jiji La Dar
Mie ninazo mbili,lete pesa ya maana nikuuzieHawa Jamaa Wamepataje Frequency Wakati Tcra Wamesema Hawatatoa Tena Kwa Jiji La Dar