MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Kudadeiki WCB noma sana,
Ni jiwe baada ya jiwe, ngomaa baada ya ngoma huku kukiwa pe ya Konki konki konki master kwa mbali, yaani ni full full hata wale waliobaniwa airtime,huku unamsikiliza Matonya,Dudu mara Fid mara Langa yaani huku playground iko tambarare hata wale tuliowapenda lkn hatukuwasikia sababu walikuwa na matatizo na Ruge huku ngoma zao zinapigwa mwanzo mwisho mara komando Jide aisee.
Kwa mara ya kwanza WCB anaenda kumaliza hii monopoly
Ni jiwe baada ya jiwe, ngomaa baada ya ngoma huku kukiwa pe ya Konki konki konki master kwa mbali, yaani ni full full hata wale waliobaniwa airtime,huku unamsikiliza Matonya,Dudu mara Fid mara Langa yaani huku playground iko tambarare hata wale tuliowapenda lkn hatukuwasikia sababu walikuwa na matatizo na Ruge huku ngoma zao zinapigwa mwanzo mwisho mara komando Jide aisee.
Kwa mara ya kwanza WCB anaenda kumaliza hii monopoly