mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Hawatabirikagi Hawa viumbe ...Unatongoza unaparangana hadi unakubaliwa
Ila mahusiano hayaendelei mbele shida nini hapa?
Je hua mnaongea nini na mademu zenu baada ya kukubaliwa??
Jibu ni Moja tuu Mdogo wangu nalo ni pesa ndio maana unaona mahusiano yako hayana directions yanaelekea wapi .Unatongoza unaparangana hadi unakubaliwa
Ila mahusiano hayaendelei mbele shida nini hapa?
Je hua mnaongea nini na mademu zenu baada ya kukubaliwa??
Duh, Asante kwa mwongozoKuna mambo yanafurahisha sana...
Ngoja waje kukupa muongozo... Huo ni uvivu wa kuendeleza ulichokianzisha...
Au ndio anafika nae chumbani kila mtu amekaa sehemu yake anaogopa kuongea na mpenzi wake hata kumsogelea anaogopaUnataka maongezi au unataka k?
Mbona kama haujui kwanini umetongoza?
Yani katongoza kakubaliwa halafu hajui cha kufanya daaah....😂😂Au ndio anafika nae chumbani kila mtu amekaa sehemu yake anaogopa kuongea na mpenzi wake hata kumsogelea anaogopa
Sijui tumwite domo zege au ni vipi hata hao wanawake wanashindwa kumuanza [emoji1787][emoji1787] kila mtu anamsubiri mwenzie aanze
Hahhahaah kuna wanaume sijui wapoje jamani sijui ndio upole uliopitilizaYani katongoza kakubaliwa halafu hajui cha kufanya daaah....[emoji23][emoji23]
Hi uwatokea hasa wale ambao wanaanzisha mahusiano bila hata ya kujuana vizuri bila kujua mawili matatu kwa hiyo ujikuta katika ugeni wa kimahusiano bila kujua outdated details.Unatongoza unaparangana hadi unakubaliwa
Ila mahusiano hayaendelei mbele shida nini hapa?
Je hua mnaongea nini na mademu zenu baada ya kukubaliwa??
Mawili matatu Kama yapii?Hi uwatokea hasa wale ambao wanaanzisha mahusiano bila hata ya kujuana vizuri bila kujua mawili matatu kwa hiyo ujikuta katika ugeni wa kimahusiano bila kujua outdated details.
Nakushahuru kama kijana mwenzio kabla ya kuanzishwa mahusiano ya kimapenzi Yale ambayo yapo serious unapaswa ujue baadhi ya details za mwenzio hila mweze kwenda sambamba.
Mawili matatu Kama yapii?
NoInawezekana hata haukuwa na lengo la kuwa nae kimapenzi lengo lilikuwa ni kumpata tu kimapenz
Kufahamu anapendelea nini, kujua madhaifu na mazuri yake pia kuwa jua hata marafiki zake na kujua harakati ama shughuli zake za za kila siku hakika huwezi kosa vya kuongea pindi muwapo pamoja ana kwa ana au kwa njia ya simu.Mawili matatu Kama yapii?
Kama nishamgonga haina shida na yasiendelee tuUnatongoza unaparangana hadi unakubaliwa.
Ila mahusiano hayaendelei mbele shida nini hapa?
Je hua mnaongea nini na mademu zenu baada ya kukubaliwa??
Huo ni mda mchache sana.No
Mfano nilitafta mwanamke kwa miaka 3,akanikubalia baada ya wiki moja akanitumia Sms tuachane without any reason na Hadi leo hajaniambiaga sababu ya kuachana