mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Unatongoza unaparangana hadi unakubaliwa.
Ila mahusiano hayaendelei mbele shida nini hapa?
Je hua mnaongea nini na mademu zenu baada ya kukubaliwa??
Ila mahusiano hayaendelei mbele shida nini hapa?
Je hua mnaongea nini na mademu zenu baada ya kukubaliwa??