Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
🤣😂😁Nikifikiria joto la saa hivi navyosonga ugali geto najitahidi jasho lisidondoke kwenye msosi. Je mama ntilie wanafanyaje ukizingatia wanapikia sufuria kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😂😁Nikifikiria joto la saa hivi navyosonga ugali geto najitahidi jasho lisidondoke kwenye msosi. Je mama ntilie wanafanyaje ukizingatia wanapikia sufuria kubwa
Nishaghairisha safari nilivyo sikia wanatumia maji pendwa ya waganga nimeona jau sanaKesho nenda mkuu
Acha uoga mkuu watu wanalamba mpaka nyuchi we unaogopa kula vilivyopikwaNishaghairisha safari nilivyo sikia wanatumia maji pendwa ya waganga nimeona jau sana
Kwani unaishi wapi?Kilitokea kipi?
kweli mambo ni mengi ni vile n biashara ila kwa macho yangu mawili kuna mambo ambayo nimeshayashuhudia yakifanyika ili kuvuta wateja.
Sikuifaham hiyo taharuki ila ndio mbinu zao hizo.Kwani unaishi wapi?
Si ilizuka taharuki ya hayo maji unayosema kutumika kuhifadhia samaki wasioze mapema? Ilikuwa balaa!
hata mimi sio siri mama ntilie asilimia kubwa ni wachafu, ni dhiki tu ndizo zinazotupeleka pale......japo pia kuna watu aliishawandikia wafe masikini hata ukimuwezesha vipi hawezesheki.Huwa nawaonea huruma sana watu wanaokula sehemu kama hizo, hata sijui kwanini!
Yani huwa nikiona walivyokaa wanakula, wengine wanasubiri nasikitika ila napata tumaini kwa kuona wamama wakiingiza kipato.
Mitaa yote ya Tiptop, Manzese na Shekilango ni pa moto sana.Wakuu...kwa sisi mabachela hapa tunapata pilau safi kabisa..nimekula kwa Mara ya kwanza nikaongeza sahani ya pili imebidi niifunge maana nilijiaona sijashiba kabisa..halafu so kula sahani mbili hapohapo.
Sina uhakika umati huu wote wanaokula ni kweli mabachela au nyumbani msosi wa hovyo.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Elewa neno chakulaChakula cha mtaani siku zote ni kitamu. Ila mazingira yake sasa
Huwa nawaonea huruma sana watu wanaokula sehemu kama hizo, hata sijui kwanini!
Yani huwa nikiona walivyokaa wanakula, wengine wanasubiri nasikitika ila napata tumaini kwa kuona wamama wakiingiza kipato.
Kuna Dada Mwingine hapo hapo MalapaKuna sehemu pale Buguruni Malapa kama unaelekea Lekam Hall kuna pilau tamu sana napo 😜
Duuu balaaaaAcha uoga mkuu watu wanalamba mpaka nyuchi we unaogopa kula vilivyopikwa