Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
- Thread starter
- #41
Nimecheka sana hii[emoji23]Kuna sehemu nilikuwa nimeagiza msosi,sasa wakati nasubiri nikamuona mpakuzi kaenda na katoto kake kadogo kwa nje,kumbe kale katoto kanaharisha,yaani kabla hajakavua chupi vizuri kalimwaga UHARO kama Bomba la Dawasco [emoji134]Dada akakaacha kanaendelea kuhara akaingia ndani kuchukua jagi la maji mie namuangalia tu kisirisiri,akarudi nje akakatawaza bila hata sabuni,akarudi nako ndani akaenda kushika sahani aanze kupakua,nilikuwa na njaa lakini nilijifanya naongea na simu nikatoka nje,nilitoka nduki sikurudi tena!!hamu ya kula ilipotea siku nzima!!!mahali popote ukiona wahusika wapo na vitoto vyao vidogo ujue Usafi ni ZERO
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app