MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Hili ni moja ya jimbo gumu sana upande wa CCM baada ya kinachosemekana kuwa ni makosa ya kamati kuu ya CCM kuwawekea mtu ambaye hafahamiki kabisa kushindanisha na Lazaro Nyalandu ambaye amekua kipenzi cha jamii ya watu wa eneo hilo.
Wenyeji wa ukanda huo wanasema Lazaro hatapata tu kura za Wanachadema pekee, bali ni hata WanaCCM ambao wanajua miaka yote kuwa yeye ndiye mbunge wao.
Huyu bwana Ramadhani Ighondo ambaye anatajwa kuwa ni mtumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu siyo mtu wa maneno sana isipokua ni mtu wa mikakati sana kiasi kwamba kumuelewa kwa kumtazama tu siyo rahisi.
Wanasingida Kaskazini twasubiri kipenga tuone mtanange huu. kikubwa refa awe fair na hata asipokuwa fair atashindwa kubeba mtu maana mbunge anajulikana mpaka sasa.
Wenyeji wa ukanda huo wanasema Lazaro hatapata tu kura za Wanachadema pekee, bali ni hata WanaCCM ambao wanajua miaka yote kuwa yeye ndiye mbunge wao.
Huyu bwana Ramadhani Ighondo ambaye anatajwa kuwa ni mtumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu siyo mtu wa maneno sana isipokua ni mtu wa mikakati sana kiasi kwamba kumuelewa kwa kumtazama tu siyo rahisi.
Wanasingida Kaskazini twasubiri kipenga tuone mtanange huu. kikubwa refa awe fair na hata asipokuwa fair atashindwa kubeba mtu maana mbunge anajulikana mpaka sasa.