Uchaguzi 2020 Hapatoshi Singida Kaskazini, Nyalandu vs Ramadhani Ighondu

Uchaguzi 2020 Hapatoshi Singida Kaskazini, Nyalandu vs Ramadhani Ighondu

Hiyo ni sura tuu ya ushamba mkuu, lakini roho iliyomo humo sii mchezo.

Kumng'oa kucha binadamu bila ganzi kwake sio hoja na hahitaji kunywa KVant kupotezea hisia
Sio poa asee ni roho ya ajabu mnoo.
 
Ramadhani Ighondo ndio nani? Hiyo mikakati yake abaki nayo tu....
 
Yaani ukisemea la viatu ndio kabisaa, angalia hizo raba za buku mbili mbili walizovaa
Washamba sana. Sijuagi pesa wanazolipwa wakati wa kufanya maovu huwa wanazipeleka wapi hata nguo hawana.
 
Singida kaskazini + singida mjn + mashark chadema
Magharib Act
Iramba 50/50

Naona maendeleo singida
 
Washamba sana. Sijuagi pesa wanazolipwa wakati wa kufanya maovu huwa wanazipeleka wapi hata nguo hawana.
Pesa ya dhuluma siku zote haiwezi kufanya vya maana, unaweza kukuta bado anaishi kwenye nyumba ya serikali na mishahara mikubwa yote hiyo wanayolipana.
 
Pesa ya dhuluma siku zote haiwezi kufanya vya maana, unaweza kukuta bado anaishi kwenye nyumba ya serikali na mishahara mikubwa yote hiyo wanayolipana.
Au hata nyumba ya maana hana kabisa. Mjomba wangu alikuwa kwenye hizo gang groups alikuja kujemga nyumba baada ya kustafu akaka miaka mitano tu akafa kwa figo. Nilifurahi sana maana hawa watu siwapendi mpaka kufa.
 
Au hata nyumba ya maana hana kabisa. Mjomba wangu alikuwa kwenye hizo gang groups alikuja kujemga nyumba baada ya kustafu akaka miaka mitano tu akafa kwa figo. Nilifurahi sana maana hawa watu siwapendi mpaka kufa.
Wanajisahau na kujiona special wakiwa huko, ndio maana wakistaafu wanawahi kufa maana wanakua lonely mtaani, hawana marafiki pia hawana maendeleo na zile favor za serikali hakuna tena so wanaishia kuwa walevi na kufa kwa hayo maradhi ya figo na ini
 
Eti mtu wa mikakati.

Mikakati gani kama hukubaliki na raia?[emoji851]
Unforgetable
Anafanya mikakati na jitihada za kutokufahamika kwasababu ni kile kitengo. Dr. Ulimboka hatamsahau popote alipo. Halafu utadhani siye, lakini anayo damu ya kutosha mikononi mwake.
 
Back
Top Bottom