Hiyo ni sura tuu ya ushamba mkuu, lakini roho iliyomo humo sii mchezo.Mtu mwenyewe wa mikakati mbona mshamba sana anaonekana, kuanzia mavazi mpaka sura yake
af kavaa shati juu ya shati bwege huyo c huyo mwenye miwani auYaani ukisemea la viatu ndio kabisaa, angalia hizo raba za buku mbili mbili walizovaa
Sio poa asee ni roho ya ajabu mnoo.Hiyo ni sura tuu ya ushamba mkuu, lakini roho iliyomo humo sii mchezo.
Kumng'oa kucha binadamu bila ganzi kwake sio hoja na hahitaji kunywa KVant kupotezea hisia
Ndio ushamba ninaousemea, halafu unaweza kukuta huyo aliemshika bega kama wanapiga picha za ubatizo ndio kampeni meneja wakeaf kavaa shati juu ya shati bwege huyo c huyo mwenye miwani au
Muuwaji atakuwa mzalendo kivipi!!?Alievaa cap,,ndo mwenyewe mzalendo wa kweli,ighondo
Washamba sana. Sijuagi pesa wanazolipwa wakati wa kufanya maovu huwa wanazipeleka wapi hata nguo hawana.Yaani ukisemea la viatu ndio kabisaa, angalia hizo raba za buku mbili mbili walizovaa
Pesa ya dhuluma siku zote haiwezi kufanya vya maana, unaweza kukuta bado anaishi kwenye nyumba ya serikali na mishahara mikubwa yote hiyo wanayolipana.Washamba sana. Sijuagi pesa wanazolipwa wakati wa kufanya maovu huwa wanazipeleka wapi hata nguo hawana.
Au hata nyumba ya maana hana kabisa. Mjomba wangu alikuwa kwenye hizo gang groups alikuja kujemga nyumba baada ya kustafu akaka miaka mitano tu akafa kwa figo. Nilifurahi sana maana hawa watu siwapendi mpaka kufa.Pesa ya dhuluma siku zote haiwezi kufanya vya maana, unaweza kukuta bado anaishi kwenye nyumba ya serikali na mishahara mikubwa yote hiyo wanayolipana.
Mikakati ya utekaji
Wanajisahau na kujiona special wakiwa huko, ndio maana wakistaafu wanawahi kufa maana wanakua lonely mtaani, hawana marafiki pia hawana maendeleo na zile favor za serikali hakuna tena so wanaishia kuwa walevi na kufa kwa hayo maradhi ya figo na iniAu hata nyumba ya maana hana kabisa. Mjomba wangu alikuwa kwenye hizo gang groups alikuja kujemga nyumba baada ya kustafu akaka miaka mitano tu akafa kwa figo. Nilifurahi sana maana hawa watu siwapendi mpaka kufa.
Anafanya mikakati na jitihada za kutokufahamika kwasababu ni kile kitengo. Dr. Ulimboka hatamsahau popote alipo. Halafu utadhani siye, lakini anayo damu ya kutosha mikononi mwake.
Siye huyu Ighondi Aliyehusishwa na kutekwa kwa Dr Ulimboka miaka ile?!
Kwa kuwa vyama vikuu viwili (CCM na Chadema) vimetuletea wagombea wachafu, basi yeyote atakayeshinda hewara.Huyu Ighondu alichokifanyia Ulimboka bado hatujasahau
Hivi huyu jamaa kucha na meno ya Doctor Ulimboka alipeleka wapi ?Siye huyu Ighondi Aliyehusishwa na kutekwa kwa Dr Ulimboka miaka ile?!