kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
Habarini wadau
Yapata miezi kadhaa sasa tangu nipate mwenza, lakini ugomvi wake na mimi ni pale nitakapo acha kuswali swala moja tu kwa siku, hapo lazima nitoe maelezo na kununiwa.
Yeye ni mwanamke mwenye misingi ya dini na elimu ya dini ya Kiislamu, mimi pia ninafahamu lakini sio sana, lakini kupitia yeye najifunza mengi na kiukweli nimebadilika sana tangu nianzishe mahusiano na yeye. Alfajiri napigiwa simu kuamshwa kuswali na nafanya hivyo.
kituo kinacho fuata ni kuvuka maji au kutuma wawakilishi visiwani ikiwezekana nichukue jiko kwani naamini huyu ndiye mtu sahihi kwangu na kwa watoto wangu.
Nawahusia vijana wenzangu tutafute wanawake wenye maadili ya dini, haijalishi ni dini gani lakini yawe maadili ya kweli na siyo ya kuigiza.
Pia soma: Naombeni sifa za wanawake au mabinti kutoka Mafia
Yapata miezi kadhaa sasa tangu nipate mwenza, lakini ugomvi wake na mimi ni pale nitakapo acha kuswali swala moja tu kwa siku, hapo lazima nitoe maelezo na kununiwa.
Yeye ni mwanamke mwenye misingi ya dini na elimu ya dini ya Kiislamu, mimi pia ninafahamu lakini sio sana, lakini kupitia yeye najifunza mengi na kiukweli nimebadilika sana tangu nianzishe mahusiano na yeye. Alfajiri napigiwa simu kuamshwa kuswali na nafanya hivyo.
kituo kinacho fuata ni kuvuka maji au kutuma wawakilishi visiwani ikiwezekana nichukue jiko kwani naamini huyu ndiye mtu sahihi kwangu na kwa watoto wangu.
Nawahusia vijana wenzangu tutafute wanawake wenye maadili ya dini, haijalishi ni dini gani lakini yawe maadili ya kweli na siyo ya kuigiza.
Pia soma: Naombeni sifa za wanawake au mabinti kutoka Mafia