Hapendi nikose swala moja tu kwa siku, ananuna na kukasirika endapo nikikosa kufanya ibada

Hapendi nikose swala moja tu kwa siku, ananuna na kukasirika endapo nikikosa kufanya ibada

Mtakatifu Petro,na ndo maana ukazaliwa...acha unafki🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zipo nyuzi za kulana kimasihara, hii mada imeletwa na kupewa udhamini kutoka Mafia 😂
 
Ona sasa mimi nimeleta mada ya maadili wewe unaleta habari za Ngono..🙌
Pole sana Mkuu ndivyo ilivyo penye watu wengi mimi mwenyewe nimehuzunika sana. Ngono ni kitu cha ziada kwenye ndoa
 
Pole sana Mkuu ndivyo ilivyo penye watu wengi mimi mwenyewe nimehuzunika sana. Ngono ni kitu cha ziada kwenye ndoa
Kwel ngono ni kitu cha ziada,,ila kwenye ndoa tendo la ndoa ni muhimu.
 
Mahari bado sijajua mkuu, umri wake ni 24, kuhusu mdogo wake subiri niende mafia nikirudi ntakupa ripoti kama na wewe unaweza kupata mmoja.
Mkuu mafia kuna watoto wazuri kweli kuna jamaa yangu ameoa huko tatizo lao ni Wabishi, wajeuri na huwa wanataka kumpanda mwanaume kichwani.

Uzuri wao hawana mambo mengiii, maharage, dagaa, manofu huwa hawachagui 😀😀😀
 
Akifanya ibada yeye si inatosha sasa ufanye ibada kwan wewe ni mwanamke mwanaume unafanya ibada kwan unaogopa moto wewe mwanamke
 
Back
Top Bottom