Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni wàgalatia mstari wa ngapi mtumishi?Hapaswi pia kukununia sababu ya wewe kutoshiriki ibada...
Huyo kununa ni tabia yake...
Anapaswa aombe Mungu mpaka ubadilike mwenyewe...
NB: Sio kila anayesema Bwana Bwana ufalme wa Mungu atauona
Safi sana na ndo inavotakiwa mtu aliejitunza kama wewe apate mtulivu mwenzie ndo nachomaanisha, sasaje hujali status ya utulivu wake?? Najua unanielewa basi ndo ushazama kwa mtoto wa kimafiaMimi sitaki zinaa kwa wakati huu, sitaki kula Tunda kabla ya wakati rasmi.
Pole sana Mkuu, kwani nilazima ufwate Matakwa yake???Habarini wadau
Yapata miezi kadhaa sasa tangu nipate mwenza, lakini ugomvi wake na mimi ni pale nitakapo acha kuswali swala moja tu kwa siku, hapo lazima nitoe maelezo na kununiwa.
Yeye ni mwanamke mwenye misingi ya dini na elimu ya dini ya Kiislamu, mimi pia ninafahamu lakini sio sana, lakini kupitia yeye najifunza mengi na kiukweli nimebadilika sana tangu nianzishe mahusiano na yeye. Alfajiri napigiwa simu kuamshwa kuswali na nafanya hivyo.
kituo kinacho fuata ni kuvuka maji au kutuma wawakilishi visiwani ikiwezekana nichukue jiko kwani naamini huyu ndiye mtu sahihi kwangu na kwa watoto wangu.
Nawahusia vijana wenzangu tutafute wanawake wenye maadili ya dini, haijalishi ni dini gani lakini yawe maadili ya kweli na siyo ya kuigiza.
Pia soma: Naombeni sifa za wanawake au mabinti kutoka Mafia
Hiyo ni factor kuu nyingine zinafuataWenye maadili ya dini sio factor
Tena hizo ndio zinavunjika kama kuni
Mwezi wa 5 nang'oa chombo hiyo naweka ndani, jipangee may unakua muke ya boss! ni taarifa tu nakupa. Hatuchangishi watu wala nn show yote nasimamia me.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sio lazima lakini ni jambo jema endapo nitafuata matakwa yake kwani ni jambo jema kufanya ibada.Pole sana Mkuu, kwani nilazima ufwate Matakwa yake???
Nashukuru sana bro, naamini Mungu atafanya wepesi na nitavuka maji kwenda visiwani.Safi sana na ndo inavotakiwa mtu aliejitunza kama wewe apate mtulivu mwenzie ndo nachomaanisha, sasaje hujali status ya utulivu wake?? Najua unanielewa basi ndo ushazama kwa mtoto wa kimafia
Kila lakher mkuu, ikawe kher bro
Huo ni mtazamo wako mkuu, binafsi mimi dini ndio kipaumbele namba moja kwangu.hamna kitu kinanikera kuhusu wanawake kama ushikaji wa dini
yaani utakuta hadi malaya mbobezi kashika dini
na kama sio mpenzi wa vitu vya dunia atakukera sana kwenye mazungumzo
Huo ni utumwa tuHabarini wadau
Yapata miezi kadhaa sasa tangu nipate mwenza, lakini ugomvi wake na mimi ni pale nitakapo acha kuswali swala moja tu kwa siku, hapo lazima nitoe maelezo na kununiwa.
Yeye ni mwanamke mwenye misingi ya dini na elimu ya dini ya Kiislamu, mimi pia ninafahamu lakini sio sana, lakini kupitia yeye najifunza mengi na kiukweli nimebadilika sana tangu nianzishe mahusiano na yeye. Alfajiri napigiwa simu kuamshwa kuswali na nafanya hivyo.
kituo kinacho fuata ni kuvuka maji au kutuma wawakilishi visiwani ikiwezekana nichukue jiko kwani naamini huyu ndiye mtu sahihi kwangu na kwa watoto wangu.
Nawahusia vijana wenzangu tutafute wanawake wenye maadili ya dini, haijalishi ni dini gani lakini yawe maadili ya kweli na siyo ya kuigiza.
Pia soma: Naombeni sifa za wanawake au mabinti kutoka Mafia
😀😀😀😀😀 Umenifanya nicheke kwanguvu sana mie nakataa ndoaMwezi wa 5 nang'oa chombo hiyo naweka ndani, jipangee may unakua muke ya boss! ni taarifa tu nakupa. Hatuchangishi watu wala nn show yote nasimamia me.
Na mimi nimekubali kuwa mtumwaHuo ni utumwa tu
Ona sasa mimi nimeleta mada ya maadili wewe unaleta habari za Ngono..🙌Hao mfunuo mmoja wa juba bao moja la chap......
Hii dunia bhana....ni uongo,uongo,uongo everywhere 🙌
Kataa ndoa ina memba wa kike sku hizu salaleeh😀😀😀😀😀 Umenifanya nicheke kwanguvu sana mie nakataa ndoa
SawaNa mimi nimekubali kuwa mtumwa
Gari linipite tu ndoa zimekua za maigizo hakuna furaha Wala amaniKataa ndoa ina memba wa kike sku hizu salaleeh
acha masihara, utapishana na gari la mshahara, mwisho wa siku upate tumbo la ku...
😂😂 jokes mkuu
dini sio kigezo cha kuwatenganisha/kuwachagua wanawake,Huo ni mtazamo wako mkuu, binafsi mimi dini ndio kipaumbele namba moja kwangu.