Hapendi nikose swala moja tu kwa siku, ananuna na kukasirika endapo nikikosa kufanya ibada

Wenye maadili ya dini sio factor

Tena hizo ndio zinavunjika kama kuni
 
Hapaswi pia kukununia sababu ya wewe kutoshiriki ibada...

Huyo kununa ni tabia yake...

Anapaswa aombe Mungu mpaka ubadilike mwenyewe...

NB: Sio kila anayesema Bwana Bwana ufalme wa Mungu atauona
Hiyo ni wΓ galatia mstari wa ngapi mtumishi?
 
Mimi sitaki zinaa kwa wakati huu, sitaki kula Tunda kabla ya wakati rasmi.
Safi sana na ndo inavotakiwa mtu aliejitunza kama wewe apate mtulivu mwenzie ndo nachomaanisha, sasaje hujali status ya utulivu wake?? Najua unanielewa basi ndo ushazama kwa mtoto wa kimafia

Kila lakher mkuu, ikawe kher bro
 
Pole sana Mkuu, kwani nilazima ufwate Matakwa yake???
 
Wenye maadili ya dini sio factor

Tena hizo ndio zinavunjika kama kuni
Hiyo ni factor kuu nyingine zinafuata

Kuhusu kuvunjika inavunjika yoyote na kwa watu wowote.
 
Safi sana na ndo inavotakiwa mtu aliejitunza kama wewe apate mtulivu mwenzie ndo nachomaanisha, sasaje hujali status ya utulivu wake?? Najua unanielewa basi ndo ushazama kwa mtoto wa kimafia

Kila lakher mkuu, ikawe kher bro
Nashukuru sana bro, naamini Mungu atafanya wepesi na nitavuka maji kwenda visiwani.
 
hamna kitu kinanikera kuhusu wanawake kama ushikaji wa dini

yaani utakuta hadi malaya mbobezi kashika dini

na kama sio mpenzi wa vitu vya dunia atakukera sana kwenye mazungumzo
 
Huo ni utumwa tu
 
Hao mfunuo mmoja wa juba bao moja la chap......
Hii dunia bhana....ni uongo,uongo,uongo everywhere πŸ™Œ
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Umenifanya nicheke kwanguvu sana mie nakataa ndoa
Kataa ndoa ina memba wa kike sku hizu salaleeh

acha masihara, utapishana na gari la mshahara, mwisho wa siku upate tumbo la ku...

πŸ˜‚πŸ˜‚ jokes mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…