Hapiness Magese avishwa pete ya $76,000

Naona Mister wako keshakuambia maana yake....inamaanisha 'what's up/ what's happening?'

hahaaaa ndo raha yake.....i knw am protected!!!!! hahahaaaaa Thanks mpendwa wangu B!!!
 
hahaaaa ndo raha yake.....i knw am protected!!!!! hahahaaaaa Thanks mpendwa wangu B!!!

Nkwingwa is a true gentleman so you better keep him. Usianze kuruka ruka huku na kule...
 
Hongera dada yetu, utakuwa umefanya jambo la maana kama utakumubuka enzi za ulimmbwende mlifundwa juu ya kusaidia jamii waonaje kama ukafanya hilo ili kuwasaidia watz wenzako wa kilosa
 
hey!!!! mambo vipi Shosti wangu??? sie tupo kumekucha na kuchwa na mabo yetu.......

siku ndiyo imeanza hivyo!....i can't wait until Friday kwa kweli...so i can go and do my hair maana sasa hivi i look like a sukuma woman with Nappy hair!...
 
siku ndiyo imeanza hivyo!....i can't wait until Friday kwa kweli...so i can go and do my hair maana sasa hivi i look like a sukuma woman with Nappy hair!...

Unaenda kuweka weave? Zile nywele bandia za Kichina?
 
siku ndiyo imeanza hivyo!....i can't wait until Friday kwa kweli...so i can go and do my hair maana sasa hivi i look like a sukuma woman with Nappy hair!...

hahaaa unawachokoza mawifiz sio!!!!

shostito ijumaa ni kama mbali mie nimechoka toka asbh sijui ndo kule kulimishwa kama wewe!!!! mmh mie majirani wazaramo watakuwa wamifanyiza kazi za nyumbani nahisi!!!!!
 
Kwani WEAVE zinatatizo gani?....Actual i am thinking of going bold kama Alec...

hazina side effect kama zile dawa za kuongeza naniliu.....

dont go bold bibie au ndo uepuke ahda za salon kama hivo eeeh!!!!





zogo kaya!...utondege toliya!..

na Omega wa kunyumba eeeh!!!
 
hahaaa unawachokoza mawifiz sio!!!!

shostito ijumaa ni kama mbali mie nimechoka toka asbh sijui ndo kule kulimishwa kama wewe!!!! mmh mie majirani wazaramo watakuwa wamifanyiza kazi za nyumbani nahisi!!!!!


hahaha jana basi shosti nikamchokoza wifi yangu mmoja nikamwambia my hair is nappy kama nimetoka mwanza jana alinitukana matusi ya nguoni....alafu akaniambia na nisulubiwe...hahahahahah!....

ooh pole na wewe wamekulimisha leo?...mwenzio nimewakemea jana usiku naona wamekimbia...ogopa sukuma people!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…