Hapiness Magese avishwa pete ya $76,000

Hapiness Magese avishwa pete ya $76,000

hahaha jana basi shosti nikamchokoza wifi yangu mmoja nikamwambia my hair is nappy kama nimetoka mwanza jana alinitukana matusi ya nguoni....alafu akaniambia na nisulubiwe...hahahahahah!....

ooh pole na wewe wamekulimisha leo?...mwenzio nimewakemea jana usiku naona wamekimbia...ogopa sukuma people!

yeomiii hiyo adhabu mbona kali kulinganisha na kosa hahaaaa lol!!!!!!

asante shosti,.... unataka kuniambia hata Mpendwa wangu atakubali nilimishwe kweli???? hapana!!! i kinda trust him!!!!!!!!!
 
hahaha jana basi shosti nikamchokoza wifi yangu mmoja nikamwambia my hair is nappy kama nimetoka mwanza jana alinitukana matusi ya nguoni....alafu akaniambia na nisulubiwe...hahahahahah!....

ooh pole na wewe wamekulimisha leo?...mwenzio nimewakemea jana usiku naona wamekimbia...ogopa sukuma people!

Tutakupa talaka wewe..ohoooooo
 
mh... i thought hii ni thread ya Happiness Magese, what happened to it??
 
heheee afu ndani ya kanga moja, acha wasukuma waende ( shosti kweli watakuja)

haya basi muendage mkatoage na maoni yenu huko kwa limwandishi la habari Jerry Muro wajemeni!!!!

heheeeeeeeeeeeeee
 
heheeeee najifunza hivooo!!!! mpaka ikifika siku ya kwenda kwa wakwe ntakuwa naflow tu!!!!!


hahaha shosti imebidi nicheke mwenyewe maana hiyo accent yako imeniacha hoi na mate yanakutoka hapo..."muendage"..huku mishipa imesimama
 
hahaha shosti imebidi nicheke mwenyewe maana hiyo accent yako imeniacha hoi na mate yanakutoka hapo..."muendage"..huku mishipa imesimama

hahaaaa hapo sinakuwa nimeshindilia liugali mwanawane la dona na minguvu kibao!!!!! (sio kama sasa kimbaumbau)

Shaka ondoa utacope taratibu tu...shem BM atakuongoza uzuri

Kiongozi nimempata kwa kweli!!! shosti wangu namuaminia!!
 
Shaka ondoa utacope taratibu tu...shem BM atakuongoza uzuri


aah huko wala asiwe na shaka mwenzako nimeshakuwa pro these days na hawa wasukuma manga...na wasukuma wana mahasira ya haraka sana shosti...wakikuudhi wee acha nao endelea na hamsini zako...mpikie dona yake muwekee hapo wala usimpe attention...mwenyewe atarudi!
 
hahaaaa hapo sinakuwa nimeshindilia liugali mwanawane la dona na minguvu kibao!!!!! (sio kama sasa kimbaumbau)



Kiongozi nimempata kwa kweli!!! shosti wangu namuaminia!!

Yeah ugali mgumu uliopaliwa kwa mkaa(kama wali) na nyama iliyopikwa kwa samli pamoja na mlenda ulowekwa karanga(nswalu)..Asubuhi unapata breakfat ya viazi vya kuchemsha au matovolwa yaliyopikwa na maziwa mgando...Hapa lazima ucope na accent yetu aisee
 
aah huko wala asiwe na shaka mwenzako nimeshakuwa pro these days na hawa wasukuma manga...na wasukuma wana mahasira ya haraka sana shosti...wakikuudhi wee acha nao endelea na hamsini zako...mpikie dona yake muwekee hapo wala usimpe attention...mwenyewe atarudi!

hahaaa kungwi kaanza hapa hapa!!! shosti asante!! ngoja nikmpikie lugali la samaki mpendwa wangu B sasa!!!! (hatujagombana thou)!!!!

naanza mazoezi kwa vitendo!!!
 
Yeah ugali mgumu uliopaliwa kwa mkaa(kama wali) na nyama iliyopikwa kwa samli pamoja na mlenda ulowekwa karanga(nswalu)..Asubuhi unapata breakfat ya viazi vya kuchemsha au matovolwa yaliyopikwa na maziwa mgando...Hapa lazima ucope na accent yetu aisee


hahaha shem unajua nini eeh! yaani hapa najaribu kuangalia hiyo avatar yako huku nakupiga picha unakura ugali kwa picha ya samaki hahahahahah!...duuh viazi na maziwa na mgando?.....lazima uharibu hali ya hewa hahahahah!
 
Back
Top Bottom