Hapiness Magese avishwa pete ya $76,000

yeah shostito..habari ndiyo hiyo nashangaa jina la mdada wa watu limetokea wapi!.....

Unaona sasa...wewe si ulimringia John Mashaka....huyo ungekuwa wewe sasa hivi na hiyo pete. Ukasema eti ni mfupi sana...
 
Unaona sasa...wewe si ulimringia John Mashaka....huyo ungekuwa wewe sasa hivi na hiyo pete. Ukasema eti ni mfupi sana...

hahaaaaaaaaaaaa!!! sasa huko ni kuringa nawe OPP si ni kwamba hakufikia vigezo vya shostito wangu khaa!!!!!!!

mambo ya kumsimamisha mwenzio kwenye kistuli ili akupige busu ya nini, utamu unapungua!!!
 
Unaona sasa...wewe si ulimringia John Mashaka....huyo ungekuwa wewe sasa hivi na hiyo pete. Ukasema eti ni mfupi sana...


hahahaha miye na John Mashaka are you serious?.!......uwii kama alivyosema shostito wangu siyo design zangu!...

hahaaaaaaaaaaaa!!! sasa huko ni kuringa nawe OPP si ni kwamba hakufikia vigezo vya shostito wangu khaa!!!!!!!

mambo ya kumsimamisha mwenzio kwenye kistuli ili akupige busu ya nini, utamu unapungua!!!


hahahaha shosti no way!....busu kutoka kwa john mashaka?nitaweweseka usiku!.....kwanza ana sauti kama miye sasa hapo itakuwa shida kubainisha nani mwanamke nani mwanamke hahahahaha!...hahaha kijana amefika hadi kaamua ku-finace pete!.....
 
hahaaaaaaaaaaaa!!! sasa huko ni kuringa nawe OPP si ni kwamba hakufikia vigezo vya shostito wangu khaa!!!!!!!

mambo ya kumsimamisha mwenzio kwenye kistuli ili akupige busu ya nini, utamu unapungua!!!

Teh teh............
 
Teh teh............

Nyie vipi, mbona mnapoteza ladha ya story??? Millen mie nimeongea naye, kwanza kanionyesha pete. Ni yeye ndo kavalishwa pete

Huyo mkaka alomvalisha ni mtoto wa fisadi fulani, lakini kainunua pete na fweza zake mwenyewe. ana kazi nzuri sana Canada

John Mashaka ni mchumi, yule hawezi kutoa hela kiasi hicho kumvalisha demu pete, namjua sana yule jamaa. Kila kitu kwake ni mahesabu
 
Unajua kwa sie watoto wa mbwa tunaotoka uswazi ya long time hizo tunajua mtindo wa watu kuangalia kifuko cha taka cha jirani ili kujua amekula nini. Basi usilogwe ule mayai halafu ukatupa magamba ya mayai kwenye kifuko chako cha taka, watoto wa Mzee wa jirani wakikushtukia story zitakuwa mtaa mzima, fulani kala mayai, fulani anajisikia, fulani anajiona etc etc.

Sasa haya mambo ya kumaindiana nani kavaa pete ya dola ngapi ni yale yale tu ya kuangalia nani ana magamba ya mayai katika kifuko chake cha kwenda jaani, basi wanabadili style tu, badala ya kuangalia magamba ya mayai, sasa wanaangalia nani ana gari aina gani, nani ana pete aina gani, nani ana real diamond, nani ana cubic zarconia.

Chonde chonde jamani, kama kuna ufisadi tuonyesheni ufisadi uko wapi. Haya mambo ya kumaindiana yako so 1984 uswahilini kwetu.I doubt hata kama uswahilini kwetu bado wanaendeleza michezo hii kwani nasikia wanafungua calll centers na kila mtu anaenda kozi ya kompyuta.

Sasa mbona tunataka kurudishana nyuma na huu uharo usio na breki kama jiwe lidonodkalo kisima kiso mwisho?

Ulimbukeni gani huu?
 
Nimegundua watanzania wengi kumbe bado washamba, mnashangaa nini kwa mrembo kama huyo kuvishwa pete ya kiasi hicho???? mbona watu wanvikwa hadi za mamilioni usd? au mpaka kila anayevishwa muelezwe na mjue imecost kiasi gani??, acheni hizo.
 
Nimegundua watanzania wengi kumbe bado washamba, mnashangaa nini kwa mrembo kama huyo kuvishwa pete ya kiasi hicho???? mbona watu wanvikwa hadi za mamilioni usd? au mpaka kila anayevishwa muelezwe na mjue imecost kiasi gani??, acheni hizo.

haya bwana stalogen
 
Pete iwe ya Kariakoo ya 3000/= au itoke USA ya 1bilion yote sio ishu.
Mapenzi ya dhati na kweli ndiyo yana-matter.
 
Pete iwe ya Kariakoo ya 3000/= au itoke USA ya 1bilion yote sio ishu.
Mapenzi ya dhati na kweli ndiyo yana-matter.

kama ni mapenzi honie................basi yaliisha zamani................

mbona siku hizi ni mambo ya pete ndo yamebaki...
 
kama ni mapenzi honie................basi yaliisha zamani................

mbona siku hizi ni mambo ya pete ndo yamebaki...

Not apply in all cases.mbona mie shemejio nampenda kwa dhati na hiyo pete sina kwanza.i must admit kuwa kwa wengi hakuna mapenzi lakn Wapo wachache waliosalia.
 
Not apply in all cases.mbona mie shemejio nampenda kwa dhati na hiyo pete sina kwanza.i must admit kuwa kwa wengi hakuna mapenzi lakn Wapo wachache waliosalia.

we na my shemeji ni exceptional case (na za hivo zipo chache sana) thats why we draw conclusion kuwa maepenzi yaliisha zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!

hata mimi na shemejio ni mapendo ya dhati kabsaaaaaaaaaa
 
Not apply in all cases.mbona mie shemejio nampenda kwa dhati na hiyo pete sina kwanza.i must admit kuwa kwa wengi hakuna mapenzi lakn Wapo wachache waliosalia.

we na my shemeji ni exceptional case (na za hivo zipo chache sana) thats why we draw conclusion kuwa maepenzi yaliisha zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!

hata mimi na shemejio ni mapendo ya dhati kabsaaaaaaaaaa
This prove that Love is still exist....
 


duh! so which is which??...Maana source za Millen zinasema kuwa Millen hajavalishwa pete na kwanza hana Bwana......na za John Mashaka zinasema kuwa John kamvalisha demu pete ya thamani hiyo ila aliipata kwa sale......Labda John Kamvalisha Millen Pete ya uchumba....duh i can imagine John Mashaka na Millen kuoana maana ni kama pimbi na zena kwi kwi kwi kwi kwi.....

Anyhow yote maisha aliyevalishwa na aliyevalisha....wote honegar zao!>....mungu amawape uzima na afya kwenye ndoa yao..Amen!
 

Hebu wacha kubishana unapoteza calories bure.......by the way shem I am so thirsty today......
 
Hebu wacha kubishana unapoteza calories bure.......by the way shem I am so thirsty today......

True dat shem!...hahahahahah nikusaidiaje shem sasa kuondoka hiyo thirsty?....Nina Ice mountain water 24 packs!......unless unaongelea thirsty ya kinywaji hahahahaha!
 
True dat shem!...hahahahahah nikusaidiaje shem sasa kuondoka hiyo thirsty?....Nina Ice mountain water 24 packs!......unless unaongelea thirsty ya kinywaji hahahahaha!

I am on diet mwenzio no water! Nina allergy nayo pamoja na maziwa......beer will do
 
I am diet mwenzio no water! Nina allergy nayo pamoja na maziwa......beer will do


LOL!...I knew you are craving for beer!....beer siyo nzuri shem zina starch sana why don't you go for wine?.....zipo more healthy and class.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…