Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Eeh abuse huku kachuchumaa,akipiga chafya lazima wazunguu watokee🤣🤣🤣
Wazungu wa siku 3 watatoka?.

Mimi demu kama aliliwa ndani ya wiki namgundua nikiingiza.

Pili macho huongea kila kitu
 
Nenda Dom kamtafute viwanja kama Rainbow, bambalaga au royal village. Ila punguza wivu mkuu. Usifatilie kitu ambacho hautaweza kuhimili maumivu yake baadae. Jifanye mjinga tu maisha yaendelee.
 
Mwanamke wa kibongo akitingwa huwa tunaelewa ila sio kutingwa kwa style hio na vichambo juu🤣🤣🤣!

Mwanamke wa kibongo akishaanza kukwambia una wivu sana na mapenzi hadi unambana mno jua tu tayari mgombea mwenza ameshakupora jimbo 🤣
Hakika! Sio wanawake tu hata kwa nyie wanaume!
 
Back
Top Bottom