Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
😂 😂Happy Birthday mrembo , Enjoy your day
Popote napoona hili jina lazima nimkumbuke mchekaji wa nyuma ya mwembe.!!
Shukrani sana mrembo wangu.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂Happy Birthday mrembo , Enjoy your day
Shukrani sana Mr. Bonny.!!
Same there mkuu.!!
😂 😂 😂Na ikawe heri kwake.
Haha.!
Shukrani sana rapper Mnazareth, Na Mungu akanitendee hivyo..!!
na mimi naruhusiwa kuku"wishi" HBD😅😅😅Shukrani sana rapper Mnazareth, Na Mungu akanitendee hivyo..!!
Amina kubwa sana mumie, ahsante sana wa nyumbani kwetu.!!Heri ya siku ya kuzaliwa wanyumbani...malaika mlinzi azidi kuwa nawe siku zote..uzidi kuwa baraka kwa wengine na Damu ya Yesu ikufunike.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivii upo serious kweli.??
😀 😀 😀 😀Shukrani sana Stephen,
Na siyo aku PM tarehe tu hapana afanye na No ya muamala tafadhali.!
Rapper!!?Shukrani sana rapper Mnazareth, Na Mungu akanitendee hivyo..!!
Hahaha..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mama maneno mazuri yote yamemalizwa mie nasema nini tena[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]