Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Bishanga tumempa uongozi TFF (ndo ujue wabongo tulivyo na akili). Hawezi kuwa chairman wa shughuli pevu kama hii.
Unakumbuka Nyani Ngabu alivokuwa anampelekesha kwenye vita vya wabebz??
Mungu saidia Kasie Kasinde asiisome hii post. Na hata akiisoma asiielewe.... aftaroo natania tu.
Uzuri wa Kasie ni ajuza kama nyie ni mababu basi Kasie ni kjbibi hivo ule usemi wa caring is sharing na kizuri kula na wenzio unafanyakazi kwa sisi wanawake (najua kwa wanaume ngumu kushea)
Hivo Ngabu akiwa ni Legends wa mabebs kwangu ni ishara afya yake iko vizuri na via vya uzazi viko imara. Akija kwa Kasie anapata vitu adimu hata inamchukua siku kadhaa kwenda kwa mbabes mwingine na hapo ni wakimsumbua. Shida kwetu wanawake ni wivu tuu,
juu ya hapo ilhali napata halali yangu bin haki hadi nafurika nakosa pa kuweka uji basi akienda wagaia uji na wengine sio mbaya teh teh teh mbaya tuu asiwe ananiaga kuwa anaenda gawa uji huko.
Huyo ndo Kasie..... Wacha Nyani ale karanga na asali kutoka Tabora kwa raha zake.