Happy birthday Asprin

Thank you... ila usisahau kumwambia The bold ... nilikuwa sifanyi utani... asipoleta ukucha wa kidole cha simba dume...cha mguu wa kushoto wa mbele.... yeye na wewe mtakuwa sawa na Lema na Makufuli.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babu unauaaaaaaa!
Nacheka kama mwendawazimu!
Dah...haya msharti kiboko, ngoja aje mwenyewe.
 
Happy birthday to you Babu Asprin , Mola akuongezee umri mwingine wa kwako na wa mchepuko wako,
Ishi miaka mingi tuzidi kusoma namba.
 
Hahaha
 
Hahaha haha Hahaha mods Wamefanyaje MI mwenyewe mod WA group yetu ya WHATSAP Keki haikutoshi
Yale matusi ambayo huwa mnaongea kule kwenye lile group la whatsapp na zile picha chafu ambazo huwa mnatumiana kuanzia leo iwe mwisho katika jina la yesu![emoji1]
 
Yale matusi ambayo huwa mnaongea kule kwenye lile group la whatsapp na zile picha chafu ambazo huwa mnatumiana kuanzia leo iwe mwisho katika jina la yesu![emoji1]
Kiroba cha ngapi... Upo? MI sina hata group moja ya wozap nazungumza na huyu mzee mwenzangu tunaelewana lugha yetu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…