Amen mjukuu wangu. Ubarikiwe sana...Happy birthday to you Babu Asprin , Mola akuongezee umri mwingine wa kwako na wa mchepuko wako,
Ishi miaka mingi tuzidi kusoma namba.
Lile group lako na mashosti wako umelisahau mkuu au unazuga???[emoji17]Kiroba cha ngapi... Upo? MI sina hata group moja ya wozap nazungumza na huyu mzee mwenzangu tunaelewana lugha yetu.....
Amina mwanangu... Mungu akujaalie... tukio la kwanza baada ya kutoka altareni likujaalie watoto mapacha (taja mwenyewe idadi unayoyaka).... Ninaomba hako kwa jina langu mimi babu yao... eimeenHahahaha, wewe niombee tu mjukuu mambo yaende salama.
Ameen dear thanks.all the best be blessed
Unesi!!! Kwani VETA aliacha?Na kakijana fulani hivi ka huko moshi kashambaa kako first year kanasomea unesi...[emoji124]
Alikuwa anasomea uderevaUnesi!!! Kwani VETA aliacha?
Ooooh!!Alikuwa anasomea udereva
Hahaha sina shost mie.... Marafiki zangu ni kinababa nauza vitenge wanaume ndo wateja zangu.... [emoji21] MI mkali wanawake wanizingua nikiwa shost wao tutatoana macho kwa kweliLile group lako na mashosti wako umelisahau mkuu au unazuga???[emoji17]
Kadi ipo hata ukitaka kesho nakufikishia.Bibi harusi mtarajiwa naomba card
Veery gud newzBado babu ila 28/1/017 natarajia kuapa mbele ya madhabahu unakaribishwa kumshuhudia mjukuu wako.
Bado wewe!Veery gud newz
nakupitia mida hii kajiandae binamuuNilishaandaa kigauni fulani amaizing lazima leo nimpate mtu fulani.....