Utadedi wewe wallah... sina mpango wa kudedi January mpaka December.Nilifikiri haka Kazee 'kamekufa'!Nilishajiandaa kuweka kikao hapo Kimara, tunachanga fedha ya pombe. Tukifika Moshi tunatulia hapo Mekuz tunagonga maji mpaka kunakucha.
Haafu tunakawahisha Mamsela kukazika...kumbuka hapo bado tunagonga mbege na nyama choma
Tukirudi Dar tunagawana videmu vyake halafu kila Mtu anasepa alipotokea!
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Shubaamit
HayaaaSi taratibu dada protokali inazingatiwa bana. Utamjua tu [emoji23][emoji23]
Kaavata kamefanyaje babu na weweHako Ka Avatar kanakudanganya wallah
Umelaaniwa?Bibi hana chura [emoji125][emoji125]
Ulweso my dear....Happy birthday babu, hiyo keki wamekuonea tu najua wewe huko ni mwendo wa maboga tu mnagawana na ngedere, Mungu akuongezee miaka mingine mpaka ushindwe kutafuna nyama, hongera bibi kwakumtunza babu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanakufanya unajiona mzungu kumbe mhehe tu, tena huchelewi kujinyonga wallah....
HahahaKanakufanya unajiona mzungu kumbe mhehe tu, tena huchelewi kujinyonga wallah....
Hahaha nilikua najaribu tu kutetea koloni lako lisiingiliwe babu. [emoji16]Umelaaniwa?
Njoo bunjuOh mchepuko wangu wa kudumu ... nikuambie kitu? Tarehe za kumtengeneza binti yetu umewadia... fanya hima
Hahaha hahaha
AiseeeKwenye ile bar yako babu unayoipenda eenh
KhaaaaBwana eenh ndio nishasema mie mtajuana wenyewe uko na zamu zenu
Amezidiwa akili na mchepuko![emoji1][emoji1][emoji1]
Mambo ya kifamilia haya. Mjukuu ana umuhimu sana kwa babu. Kuwa na amani mama. Kila kitu kiko sawa
Njoo bunju
Mama sasa hivi nina furahaa kwa sababu umeacha kunibadilishia Baba mara kwa mara,sasa hivi nina baba mmoja!Hahaha mtoto unataka lana za wakubwa ako eh?
hahaha kila siku nakwambia uache kumfatilia mama ako utaokota makopo we haya tuMama sasa hivi nina furahaa kwa sababu umeacha kunibadilishia Baba mara kwa mara,sasa hivi nina baba mmoja!