Happy birthday Asprin

Happy birthday Asprin

Nilifikiri haka Kazee 'kamekufa'!Nilishajiandaa kuweka kikao hapo Kimara, tunachanga fedha ya pombe. Tukifika Moshi tunatulia hapo Mekuz tunagonga maji mpaka kunakucha.

Haafu tunakawahisha Mamsela kukazika...kumbuka hapo bado tunagonga mbege na nyama choma

Tukirudi Dar tunagawana videmu vyake halafu kila Mtu anasepa alipotokea!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app

Shubaamit
Utadedi wewe wallah... sina mpango wa kudedi January mpaka December.
 
Happy birthday babu, hiyo keki wamekuonea tu najua wewe huko ni mwendo wa maboga tu mnagawana na ngedere, Mungu akuongezee miaka mingine mpaka ushindwe kutafuna nyama, hongera bibi kwakumtunza babu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Happy birthday babu, hiyo keki wamekuonea tu najua wewe huko ni mwendo wa maboga tu mnagawana na ngedere, Mungu akuongezee miaka mingine mpaka ushindwe kutafuna nyama, hongera bibi kwakumtunza babu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulweso my dear....

Ahsante Sana...

Nami naomba sala yako Mungu aisikie na akutendee vile vile kama ulivyoniombea...(najua hupendi kushindwa kutafuna nyama, ila utafanyaje sasa wakati sala ishasikilizwa??)

Mungu yu mwema daima.... Barikiwa mno.
 
Back
Top Bottom