Wakuu wote wa Chit chat na MMU naomba muungane nami kunuwish shemeji yangu kipenzi atoto kila la heri katika siku yake hii ya kuzaliwa.
atoto Mimi na dada yako DEMBA tunakutakia matashi mema katika siku hii, ukue katika maadili mema.
Tunakupenda sana.
Karibuni wote kwa mazawadi na makeki.
charminglady everlenk Ennie Baba V ladyfurahia lara 1 Asprin BADILI TABIA Mtambuzi sister miss neddy atug masai dada Mr Rocky Ntuzu Tized mwallu snowhite Madame B Kongosho Mtoto halali na hela utafiti Tyta MO11 Honey Faith Nazjaz
Na wengineo wote karibuni sana.
Duuuuh umewahi bwana ni kesho, ila nashukuru, aiseeee am tooo old eti.
Oooh nina miaka 44Haaa taja Umri wako bwana
Kwa niaba ya familia ya Mr & mrs Kaboom na kaka yangu wa pekee mito. .............Tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa ajili ya mtu huyu atoto
Ijapokuwa amekuwa ni mtu mwenye gubu, mvivu, mzurulaji, mchepukaji na mbabe kama mnyakyusa. Bado tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa yote aliyotenda juu yake hadi leo anatimiza miaka 45.
Kusema kweli kati ya mamaz wote alioniletea daddy angu, atoto ni pasua kichwa Sijapata kuona . Ameshindikana dunia nzima, lakini ndo mama angu ntafanyaje sasa. Mwaka huu angalau uwe mpole kidogo kama mimi teh
We wish you all the very best darlin. Mungu akubariki uingiapo na utokapo. .akabariki kazi za mikono na mdomo wako...akakupe kibali mbele zake na mbele za mataifa. .. mahali miguu yako itakapokanyaga, Mungu akapabariki na kupafanya kuwa ni ardhi yako...ukafanyike kuwa baraka na kwa wengine.. Ukawe na afya njema na amani ya moyo. Na neema ya Mungu ikawe nawe daima, isikupungukie kamwe.
Mimi na sumbai tumekuandalia hiki kitu kidogo wa kunyumba. Have a blast sweetheartView attachment 316281
Hahaha macho hayajaona ila moyo umehisi.Nashukuru sana kipenzi, mwaaaaaah!!
Ila pale mwanzoni macho hataaa hayajasoma sijui nina tatizo la macho, yaani macho yameanza kusoma aya ya tatu tu.
Mwambie sumbai nataka viwalo ila marufuku kunidai pesa.
Hahaha macho hayajaona ila moyo umehisi.
mbona hujasema Ahsante kwa zawadi?
aiseeee am tooo old eti.
mmmmmmmmmmmmmmmh!!! kho!Oooh nina miaka 44
Aah ni nguruka wako teh tehHiyo zawadi sijaiona mama, haifunguki.
Aah ni nguruka wako teh teh
Si unajua kuna foleni sana?Nitakuwa hapo mda si mrefu.Sijakutana na yeyote
Hahaha sasa daddy unadhani nina option nyingine tena? Nataka atoto mama kijacho ajifungue salamaHeaven Sent nafurahi kuona unapatana na mama yako siku hizi..
Oooh nina miaka 44