Happy Birthday Aunty Ezekiel


Mkuu haujachanganya madesa kweli?
 
dah huyu ndo Balozi wetu wa utalii lakini hajui kwa nini Simba wa Manyara wanapanda juu miti
 
Hili halikubaliki hata kidogo... totally udhalilishaji kama sio discrimination. It's not his fault na ndio maana hata apige msasa vipi, bado uvundo pale pale! Kama ofisi ina-deal moja kwa moja na wateja, afadhali wangemuamisha kitengo na kumpeleka back office lakini termination, completely not acceptable! Huyo akienda kulalamika mamlaka husika, lazima arudishwe kazini na faini juu!
 
Ndo maana Diamond alivyomchambaga Wema, wala hakujisikia kichefu chefu....kumbe anazurura na dawa ya kichefu chefu masaa 24...

cc; Dinazarde

Hhhhhhaaaaaaaaa uwiiiiii chezeaaa
 
Last edited by a moderator:
Make up imezidi cheusi dawa, umekuwa kama sanamu la michelin, u look sexy though ,black is always beauty,pendeza sana HAPPY BIRTHDAY mrs Demonte.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Super Star Actress Aunt Ezekiel + Le Big Show + Super Star JB last at jeuri ya fweza at Ridizo Club Masaki, Uptown bongo kufuru la Birthday Dinner Party la Super Star Aunt Ezekiel live!![/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Baang The King of Pop in Bongo Super Mega Star Diamond Platznumz himself U know + Le Big Show U know live last night at the Dinner Party ilikuwa ni balahaaaaa U know!![/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Le Big Show + Le Madame le gademu mtindiz U know I love it U know!![/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
Lulu Mathias ndio alikuwa anafanya kazi itv na si Lulu wa Kanumba.
Umesahau tu Mkuu... zamani Lulu Michael (huyu Lulu Mathias hata nikikutana nae njiana, wala simjui) alikuwa akitangaza kipindi cha watoto ITV tena kwa muda mrefu tu. Kapiga piga mzigo pale, baadae kibarua kikaota majani! Kama ujuavyo wana-Dar es salaam, wakaanza oh, Lulu katimuliwa ITV kutokana na tabia zake chafu! Sasa katika kujitetea ndo akasema hajatimuliwa bali umri wake ulishakuwa mkubwa kuendesha kipindi cha watoto... kwahiyo akajiongezea miaka ili kuhalalisha madai yake... ulipomuibukia mtiti wa Kanumba, akaukana tena umri ambao aliutangaza zamani...
 
Ah, sio issue manake mheshimiwa keshazoea jasho la wanyama pori seuze la mwanadamu anayejimwagia manukato!

AHAahaaaah aahah, usikute kiharufu ndo kimemvutia, maana wengine wanavutiwaga na watu wanaonuka majasho, wanasemaga ndo wanapata mzuka, kuna demu alishanibia yeye anapenda sana jasho la kiume, yan akisikia ndo nyege zinampanda, nikashangaa kweli
 

Huyo ndo aunty ezekiel original, ila uzuri aunty ni jembe sana uikutana nae batani ustaa pembeni anajiachia vibaya, sema tu kikwapa ndo kinamrostisha bibi yule
 
Ndo maana Diamond alivyomchambaga Wema, wala hakujisikia kichefu chefu....kumbe anazurura na dawa ya kichefu chefu masaa 24...

cc; Dinazarde

Ahhaaah, ndo maana yeye mambo ya kuchambana hawezagi coz anajijua majanga yake
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…