ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Na yeye anatimiza miaka mingapi? Keshafika 20 au ndo ametimiza sasa?manake dadaz wa dar es salaam,ah wana mambo ile mbaya... ni Lulu peke yake ndie alijiongezea umri baada ya kuona wanamsemanga kwamba eti katimuliwa ITV baada ya kuonekana hajatulia na mwenyewe kusema hajatimuliwa ila umri wake ushakuwa mkubwa kuendesha kipindi cha watoto!! Maajabu hayakuisha, alipokumbwa na tuhuma za mauaji ya Kanumba, ehe! Si akaukana tena ule umri mkubwa na kusema yeye ndo kwanza yupo under 18!!!
Afadhali, kumbe dada mkweli...Katimiza 27...nimemsikia Zamaradi...
Sijachanganya wala nini... wapi unahisi nimechanganya?Mkuu haujachanganya madesa kweli?
Hili halikubaliki hata kidogo... totally udhalilishaji kama sio discrimination. It's not his fault na ndio maana hata apige msasa vipi, bado uvundo pale pale! Kama ofisi ina-deal moja kwa moja na wateja, afadhali wangemuamisha kitengo na kumpeleka back office lakini termination, completely not acceptable! Huyo akienda kulalamika mamlaka husika, lazima arudishwe kazini na faini juu!Hivi hii kitu kunuka jasho ni nini?kuna kijana mmoja hapa ofisini kwetu alikuwa terminated simply kwa sababu ya jasho na harufu mbaya toka miguuni,hata aoge vipi na avae sandals wapi. Mkisafiri naye katika gari utatamani ushuke kwenye gari utafute usafiri mwingine!
Kikwete yuko vetnam
Sijachanganya wala nini... wapi unahisi nimechanganya?
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]Make up imezidi cheusi dawa, umekuwa kama sanamu la michelin, u look sexy though ,black is always beauty,pendeza sana HAPPY BIRTHDAY mrs Demonte.
faby mtaje huyo memberHamzidi member flani hapa kwa kunuka kwapa
Kikwete yuko vetnam
Umesahau tu Mkuu... zamani Lulu Michael (huyu Lulu Mathias hata nikikutana nae njiana, wala simjui) alikuwa akitangaza kipindi cha watoto ITV tena kwa muda mrefu tu. Kapiga piga mzigo pale, baadae kibarua kikaota majani! Kama ujuavyo wana-Dar es salaam, wakaanza oh, Lulu katimuliwa ITV kutokana na tabia zake chafu! Sasa katika kujitetea ndo akasema hajatimuliwa bali umri wake ulishakuwa mkubwa kuendesha kipindi cha watoto... kwahiyo akajiongezea miaka ili kuhalalisha madai yake... ulipomuibukia mtiti wa Kanumba, akaukana tena umri ambao aliutangaza zamani...Lulu Mathias ndio alikuwa anafanya kazi itv na si Lulu wa Kanumba.
Nani kakuuliza
Ah, sio issue manake mheshimiwa keshazoea jasho la wanyama pori seuze la mwanadamu anayejimwagia manukato!
Nilipoona habari ya Aunty Ezekiel nikashangaa kuiona picha ya mtu mwingine... nikaona sio issue, issue ni habari... nikaendelea mbele, eh hii msg nikalazimika kurudi nyuma... yaani mh! Ningekuwa Mluguru ningeendelea kukataa kwamba sio Aunt Ezekiel huyo!