Happy Birthday Aunty Ezekiel


nakumbuka sana ila aunty mkubwa jamani
 
Last edited by a moderator:
Jasho dawa yake ni kulipiga madeodorant na ma D'or bila kusahau ma Givenchy
mijasho mingine ukiipigia hayo madeodprant ndo inakuwa kama umefanya sound mix... kazi ndo pale ulipozani unafanya mixing ya hip hop unakuja kuibuka na chalanga!
 

Kaka hili la jasho mwenzenu lilinikuta.ubishoo wa shule kujaza madeodorant kwapani,ikaja baadae nisipopaka then nkatoka jasho hapakaliki.unakosa Aman kidume huezi hata kumhug baby..
Nikaenda hadi hospital nkashauriwa kunywa maji mengi na nkapewa dawa ya kupaka,haikusaidia sana ila through forum yetu ya mtandao wa school mates ndo nkashauriwa kujaribu ndimu, offcoz imesaidia sana now cko vile tena.ila mekoma na deodorant...only perfume
 
Tumia bicabonate if soda ya kukandia maandazi. Unakoroga kijiko kimoja cha chai kwenye maji vijiko vikubwa viwili unajipaka makwapani unasubiri nusu saa ikikauka unaenda kuoga. Hutanuka jasho kbs. Uwe na mazoea ya kufanya hivyo.
 

umenichekesha sana!
 
Tumia bicabonate if soda ya kukandia maandazi. Unakoroga kijiko kimoja cha chai kwenye maji vijiko vikubwa viwili unajipaka makwapani unasubiri nusu saa ikikauka unaenda kuoga. Hutanuka jasho kbs. Uwe na mazoea ya kufanya hivyo.

Ushauri wako utakuwa umewasaidia wengi sana humu, ahsante
 
Hua ananitafutia ban nami namtafutia ban lakin shost hata umchambeje lolowapi hakutukani ng'000000,mpaka utachoka

Binamu jana wenzio tulilewaje? Nilikuwa natoka kwenye mishe zangu, sasa njian kuna roli kubwa lilibeba ma kreti ya bia likaanguka mwenzangu, wacha watu tujishebedue na mabia ya bure? Watu wanakimbia na makreti ya bia wengine kama sie ndo tukalewa pale pale, yan ilikuwa shidaa,mpaka wakatupiga na mabomu ya machozi ili tutawanyike,ilikuwa shidaa, ila nashukuru mungu nililewa salama tu na apa nimelala na ma hang over
 
Last edited by a moderator:
Tumia bicabonate if soda ya kukandia maandazi. Unakoroga kijiko kimoja cha chai kwenye maji vijiko vikubwa viwili unajipaka makwapani unasubiri nusu saa ikikauka unaenda kuoga. Hutanuka jasho kbs. Uwe na mazoea ya kufanya hivyo.

Asante sana kwa ushauri. Mm na wakwapa wenzangu tunashukuru.ila niendelee na ndimu au hii yatosha?
 

Ulilewa sana basi mi nikajua umejitoa out kumbe vya buree bina nawe unaniabishaaaaaaa mfyuuuu
 
Ulilewa sana basi mi nikajua umejitoa out kumbe vya buree bina nawe unaniabishaaaaaaa mfyuuuu

Bia si zilianguka binamu? Gar la beer lilipata ajali, sasa ningefanyaje? Ikabidi nilewe pale pale tuh, ilikuwa shidaa
 
Bia si zilianguka binamu? Gar la beer lilipata ajali, sasa ningefanyaje? Ikabidi nilewe pale pale tuh, ilikuwa shidaa

Huku lilianguka weee watu walilewajeee waliibajee!! Barabara ilinuka bia tupu
 
Huku lilianguka weee watu walilewajeee waliibajee!! Barabara ilinuka bia tupu

Mpaka mabomu ya machozi yakarushwa, watu bado wanakazana kukimbia na makreti, mi si haba nilikimbia n makreti 9, leo sitoki nalewaje? Binamu yako kwa kupenda vya bure
 
Mpaka mabomu ya machozi yakarushwa, watu bado wanakazana kukimbia na makreti, mi si haba nilikimbia n makreti 9, leo sitoki nalewaje? Binamu yako kwa kupenda vya bure

Bina uliyabebaje hayo makreti yote! !!ni bia aina ipiii!!!vya bure vitakuua hhhhaaaaaa
 
Bina uliyabebaje hayo makreti yote! !!ni bia aina ipiii!!!vya bure vitakuua hhhhaaaaaa

Mpaka mwenyew najishangaa nimebebaje, makreti tisa na wala sikuchoka, ila macho yamevimba kwa mabomu ya machozi ila nikajikaza tu tu si unajua vitu hadimu
 
Reactions: amu
Mpaka mwenyew najishangaa nimebebaje, makreti tisa na wala sikuchoka, ila macho yamevimba kwa mabomu ya machozi ila nikajikaza tu tu si unajua vitu hadimu

Bina hujamboo,shikamoooo
 
Ndo maana kila siku wanakufa VIFO vya ajabu na vya aibu, wengine wanapata ajali wanakatika mpaka kichwa kwa ajili ya ushirikina

Binamu naskia mama ubaya naye ni bigwa wa kwenye hayo mambo hadi ku sleep na mganga pia wanaenda ili wapate wa kuwahonga
 
Binamu naskia mama ubaya naye ni bigwa wa kwenye hayo mambo hadi ku sleep na mganga pia wanaenda ili wapate wa kuwahonga

Mama ubaya ni mshirikina sana na mwenzie aunty, vichawi balaa we waache tu siku yao ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…