Happy Birthday Aunty Ezekiel

Happy Birthday Aunty Ezekiel

Umesahau tu Mkuu... zamani Lulu Michael (huyu Lulu Mathias hata nikikutana nae njiana, wala simjui) alikuwa akitangaza kipindi cha watoto ITV tena kwa muda mrefu tu. Kapiga piga mzigo pale, baadae kibarua kikaota majani! Kama ujuavyo wana-Dar es salaam, wakaanza oh, Lulu katimuliwa ITV kutokana na tabia zake chafu! Sasa katika kujitetea ndo akasema hajatimuliwa bali umri wake ulishakuwa mkubwa kuendesha kipindi cha watoto... kwahiyo akajiongezea miaka ili kuhalalisha madai yake... ulipomuibukia mtiti wa Kanumba, akaukana tena umri ambao aliutangaza zamani...

Lulu alidanganya umri kwa kuwa akina mama mwantumu wa tandale na akina abdala msogoti wa mbagala walizidi kumnyoshea vidole kuwa mtoto mdogo ata miaka 18 bado ila anafanya mambo ya kikubwa, nadhani hii ilimuaribu kisaikolojia so akaamua kudanganya umri ili ionekane mambo yake na umri wake vinaendana, ila lulu aliaza kuchakazwa kitambo sana, nahisi wakat akiwa 12 alikuwa kashachakachuliwa
 
Ahhaaah, ndo maana yeye mambo ya kuchambana hawezagi coz anajijua majanga yake

Duh masikini pole yake...inatesa sana ile hali huku pwani tunaita kunuka vumba...yani ukipita upepo unabeba harufu kila mtu anajua kapita mtu hapa...
 
AHAahaaaah aahah, usikute kiharufu ndo kimemvutia, maana wengine wanavutiwaga na watu wanaonuka majasho, wanasemaga ndo wanapata mzuka, kuna demu alishanibia yeye anapenda sana jasho la kiume, yan akisikia ndo nyege zinampanda, nikashangaa kweli

Unajisikiaje toka mwanzo wa uzi kutaja aibu za mwenzako? Unadhani wewe umekamilika 100%? Acha tabia za kipuuzi hizo huwezi kumtaja mtu kwa aibu zake mbele ya watu
 
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Super Star Actress Aunt Ezekiel + Le Big Show + Super Star JB last at jeuri ya fweza at Ridizo Club Masaki, Uptown bongo kufuru la Birthday Dinner Party la Super Star Aunt Ezekiel live!![/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Baang The King of Pop in Bongo Super Mega Star Diamond Platznumz himself U know + Le Big Show U know live last night at the Dinner Party ilikuwa ni balahaaaaa U know!![/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Le Big Show + Le Madame le gademu mtindiz U know I love it U know!![/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Halafu We babu unaona tumekuweka likizo hatukuongelei ndo umeaona utujazie mipicha bila maelezo...
Haya hapo mlikuwa wapi? kisa cha kurembua hivyo nini?
Halafu hiyo picha na Diamond mbona ndo umeweka alama gani hivyo? Mbona kama ishara ya pistol.......kidole na jicho usije tutobolea macho Dai wetu.....

Nasubiri unichambe....nimejiandaaje...
 
Unajisikiaje toka mwanzo wa uzi kutaja aibu za mwenzako? Unadhani wewe umekamilika 100%? Acha tabia za kipuuzi hizo huwezi kumtaja mtu kwa aibu zake mbele ya watu

Huku ni kwa wambea ndugu..itakuwa we umepotea jukwaa. Au we ndo waziri wa utaliii....?

Humu hata wewe ukiwa maarufu tunakusasambua nje ndani...
 
Huku ni kwa wambea ndugu..itakuwa we umepotea jukwaa. Au we ndo waziri wa utaliii....?

Humu hata wewe ukiwa maarufu tunakusasambua nje ndani...

Nimemwambia kama anapenda kusikia maneno mazuri akasome BIBLIA atuache sie tujimwage asituvuruge apa, halafu anaonekana mlokole huyo , yani siku izi watu wambea binamu, halafu huyu kaja uku kwa ajili ya umbea sasa sijui anatapika madudu gani,yani ni sawa mtu uende DISCO halafu ukute watu wanacheza uchi we unauliza kwa nini mnacheza uchi, huyo atakuwa mzima kweli?
 
Nimemwambia kama anapenda kusikia maneno mazuri akasome BIBLIA atuache sie tujimwage asituvuruge apa, halafu anaonekana mlokole huyo , yani siku izi watu wambea binamu, halafu huyu kaja uku kwa ajili ya umbea sasa sijui anatapika madudu gani,yani ni sawa mtu uende DISCO halafu ukute watu wanacheza uchi we unauliza kwa nini mnacheza uchi, huyo atakuwa mzima kweli?

Huyu anajishaua tuu...mtu kasoma comment ya kwanza hadi ya mwisho ndo anaanza kuhubiri...angekuwa hapendi kweli angesoma comment moja angeondoka kimya kimya atuache tulaanike wenyewe...
 
watu mna maneeeeno!
warumi haya majibu unatoaga wapi?
 
Last edited by a moderator:
Wenyew wanakazana na mapafyumu ya milion moja lakin bado pafyumu na jasho vinajitenga yan ana kwapa kali mno, aunty ana nyama nyama flani iv halafu nzito so ikipata jua na joto binamu walahi hatukai

Hahahaa haaaa
Maskini nimemuonea huruma
 
AHAahaaaah aahah, usikute kiharufu ndo kimemvutia, maana wengine wanavutiwaga na watu wanaonuka majasho, wanasemaga ndo wanapata mzuka, kuna demu alishanibia yeye anapenda sana jasho la kiume, yan akisikia ndo nyege zinampanda, nikashangaa kweli
Duh, hao si bure, watakuwa na jini Sufiani hao... hilo jasho lako mwenyewe tu majanga bado ulitamani la mwenzako!
 
Duh, hao si bure, watakuwa na jini Sufiani hao... hilo jasho lako mwenyewe tu majanga bado ulitamani la mwenzako!

Ndo inavyokuwaga , binadamu tupo tofauti, mi wanipishe apa na upuuzi wao
 
Hahahaa haaaa
Maskini nimemuonea huruma

Kuna kipindi aliwahi kusema kuwa hamuogopi mtu wala MCHAWI, bongo movie nzima inamjua, hayo maneno alikuwa anamwambia mwengi sijui yule demu wa moze iyobo, sasa mi nikajiuliza bongo movie wanamjuaje? Kwa uchawi au? Kwa mtindo huo wasinuke vikwapa na papucho mchezo, kanisani/msikitini hawaendi Mungu wao amekuwa MGANGA, kurogana na kuibiana mabwana kwao ndo fasheni, wengine tunaambiwa kuna baadhi ya WASANII BONGO MOVIE wameshakufa zamani, ila wanatembea wakiwa wafu hai, siku yeyote wanakufa mazima, yani ukisikia mambo ya bongo movie hutatamani kuangalia movie zao wala kuigiza, wachawi mno kwa kweli, ipo siku mambo yao yatakuwa peupe
 
Kuna kipindi aliwahi kusema kuwa hamuogopi mtu wala MCHAWI, bongo movie nzima inamjua, hayo maneno alikuwa anamwambia mwengi sijui yule demu wa moze iyobo, sasa mi nikajiuliza bongo movie wanamjuaje? Kwa uchawi au? Kwa mtindo huo wasinuke vikwapa na papucho mchezo, kanisani/msikitini hawaendi Mungu wao amekuwa MGANGA, kurogana na kuibiana mabwana kwao ndo fasheni, wengine tunaambiwa kuna baadhi ya WASANII BONGO MOVIE wameshakufa zamani, ila wanatembea wakiwa wafu hai, siku yeyote wanakufa mazima, yani ukisikia mambo ya bongo movie hutatamani kuangalia movie zao wala kuigiza, wachawi mno kwa kweli, ipo siku mambo yao yatakuwa peupe

Hili nalo neno
Wanarogana sana
 
Make up imezidi cheusi dawa, umekuwa kama sanamu la michelin, u look sexy though ,black is always beauty,pendeza sana HAPPY BIRTHDAY mrs Demonte.

ana mimba huyu binti ama??
 
Back
Top Bottom