brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,287
Huku ni kwa wambea ndugu..itakuwa we umepotea jukwaa. Au we ndo waziri wa utaliii....?
Humu hata wewe ukiwa maarufu tunakusasambua nje ndani...
Nitolee umbea wako apa, kama umeona nimekuboa we ungepita zako tu, ukitaka kusoma maneno mazuri nenda kasome BIBLIA , humu ni full udaku
Hahahahah nyieeeee hamfai hata robo...mie leo nacheka tu...nimeona kule watu wanaomba mafile ya waume zao...hahah wadada wabongo bana hatareee...ngoja niwe msomaji tu leo