Happy birthday baba Raila Odinga

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Mataga mjifunze kupitia siasa za kenya!
 
Hawa wenzetu wako juu Sana. Kwa maneno wanayorushiana majukwaani usingetegemea kitu kama hiki. Hawa ndiyo wanathibitisha kwa vitendo kauli kuwa *siasa siyo uadui"


Vile vile, Rais Uhuru na makamu wake wametofautiana hadharani muda mrefu Sana lkn kamwe hatujasikia Uhuru akimshinikiza Ruto kujiuzulu.
 
Uko sahihi kabisa walitofautiana kwenye BBM kama cjakosea! Just imagine Job kubwabwaja kidogo kashinikizwa mpaka na mapress conferess ajiuzulu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…