Happy Birthday Babu ODM

Asprin

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
68,223
Reaction score
96,083
Yes... It is my birthday...

Baada ya kukurukakara za maisha ya utoto na ujana...














Hatimaye leo imempendeza tena Mungu kuniongezea mwaka mwingine katika maisha yangu...

Ahsante Mungu .... Ahsante na kwa ndugu jamaa, wajukuu na marafiki kwa kuwa nami hadi hivi leo...



CC: Wife Sky Eclat ... Tumetoka mbali mama


BCC: Mchepuko Sakayo ahsante kwa faraja, bibi yako anapokuwa hayupo.



Habari hizi ziwafikie ndugu jamaa na marafiki popote pale walipo

Numbisa Bonny mshana jr Inna Shunie espy emmyta Mwifwa nasubiria zawadi zenu... Huyu mzaliwa habagui vinywaji.
 

Attachments

  • upload_2018-1-21_6-18-2.jpeg
    9.9 KB · Views: 75
Shikamoo mzee...
Nakutakia heri ya siku ya kuzaliwa.... Sherehekea kwa amani na epuka vinywaji vikali kwa afya ya ini lako.

Wasalaam wote.
 
Mkuu tubariki wajukuu zako kwa kutupa usia kuhusu kujikwamua kiuchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…