Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Yes yaani acha kabisa mambo yalikuwa fire. Nilipiga za kutosha na kuenjoy, kutoa aibu πππ nikajiachia. Nasemea yule mgonjwa ni kumuombea tu, anaumwa. Naona weekend uliitumia ipasavyo nawe.Sikupatiii picha uvoyarudiiii ma kichwani ushapigaπΎπΎπΎπ₯π₯π₯ zakutosha!!
Haina noma kipenzi ngoja tuone tutajulishana !!
Mgonjwa Mungu amjalie afya njema arikave haraka dear!! Yeah weekend ilikua njema sana kipenzi Sema likizo nayoo sasa ka inakimbizwaa!Yes yaani acha kabisa mambo yalikuwa fire. Nilipiga za kutosha na kuenjoy, kutoa aibu πππ nikajiachia. Nasemea yule mgonjwa ni kumuombea tu, anaumwa. Naona weekend uliitumia ipasavyo nawe.
Amina πππMgonjwa Mungu amjalie afya njema arikave haraka dear!! Yeah weekend ilikua njema sana kipenzi Sema likizo nayoo sasa ka inakimbizwaa!
Mambo yametaradadiiii nayo inayoyoma Kweli!!
β€οΈβ€οΈπππ I'm here already miss you too π€π€π€πPenseli 4 Fanya ukuje Dp world hukuuu nishakumiso mpaka naumwaaa![emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788]!
National Anthem DW nihukuuu[emoji4][emoji4]
Hamna hata vi clip clip vya mitikisiko tuchangamshe machoYaani hoi nilicheza ile jumamosi πππππ nyimbo zote, zilikuwa zimahamasisha kusimama. Huku kwingine tuombe Mungu πͺ
Niko nashangaa mji!!Nyakiboo tuko vyedi sana mnywani just missing you alot wanasemaje Dom??
hahaha ngoja arudi hewani tuoneπππππππ!! Akituma nistuee mnywanii namie nimemmisijeee mbantyuu lol!
Hope atakuwa mwepesi Sana Sasa hivi mnywani.Amina πππ
Likizo huwa hivyo pale inanoga na siku hazikamatiki. Ila utakuwa umepumzika na kurudi mpya.
ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€£Hope atakuwa mwepesi Sana Sasa hivi mnywani.
Natumai kazimaliza zote
Hapo ni mwendo wa supu ya sangara na mchemsho wa ndiziMnyama mkareeeee umedamsh kinoumaaa mnywanii πππ€©π€©
Santoo sana kuibless asubuhi Yangu mnywanii hapa Siku yangu inaenda kuwa barreeeeeeeeddaaa kabesaaa!! Barikiwa sanaaa!
Maaana Kuna mda madesa aya flow vizuri kwa wanafunzi!!π€£π€£π€£π€£π€£π€π€π€π€π€π€!
Na Mbantyu Nawagawa bureee mjueee mnywanii πππππ€£!!