Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Anaconda viwanja yeye mpeleke sehemu ya live band hapo ndipo moyo wake unakunjukaBantu Lady anahitaji a lot of zawadi,unafikiri ni ipi itamfaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaconda viwanja yeye mpeleke sehemu ya live band hapo ndipo moyo wake unakunjukaBantu Lady anahitaji a lot of zawadi,unafikiri ni ipi itamfaa?
Umeona kisa kaja na begi la pesa unatak umchune kabisaTulia wewe 🤒
Sichunagi wanaume mie....si ungeona wanakuja kulalamika walivyo na midomo mirefu🙄Umeona kisa kaja na begi la pesa unatak umchune kabisa
Nijifeel safe?how ?Nimesema nakuja WhatsApp bhana....utachukuaje mwingine ingali mie ni WA kufa na kuzikana.I told you nitakujali na kukulinda...nitajishusha na kufanya u feel safe....am your second mama.... don't you remember my words....please am yours so be cool 💕
🤣🤣🤣🤣 sema unawachun wanao jielewa chuna papatupapatu uone atakavyokuja kulia hapaSichunagi wanaume mie....si ungeona wanakuja kulalamika walivyo na midomo mirefu🙄
Haina shida ndugu yangu,tutamuandalia hiyo Na nyingine piaAnaconda viwanja yeye mpeleke sehemu ya live band hapo ndipo moyo wake unakunjuka
🤣🤣🤣Usiniache mchana kweupe please... Subiri giza liingie......wananipenda so hawatopenda kuona naaibishwa.Tuliza ball.Afu wewe Mwachiluwi wewe🙄 ....hbd kwako cute wangu Bantu Lady ...ishi sanaNijifeel safe?how ?
Et mama?
What about hizo danga's?
Umeukata Kata Moyo wako kama birthday cake ,kipande cha Zulu man kimepewa mtu mwingine
Acha Kwanza tusheherekee birthday 🤐
Ndo huyu ninayemuona whatsapp status miss bantu?Helloowww guyss!!!
Today a true queen was born and I take this chance to wish her a very sweet, happy , lovely ,enjoyable, and an ameizing birthday!
Mary God bless you and grant you many more years to celebrate!
Happy birthday Bantu Lady
View attachment 2662769View attachment 2662770
Samaki mkubwaaaa pia ma mau nitachukua pale morrocoHaina shida ndugu yangu,tutamuandalia hiyo Na nyingine pia
Tusubiri afike.
🤣🤣🤣Jamani🤭🤣🤣🤣🤣 sema unawachun wanao jielewa chuna papatupapatu uone atakavyokuja kulia hapa
Kwaza ulikuwa unijali shemej yako unanishindisha njaa sio wewe Zulu man kaka ukiendelea nae mimi sio ndugu yako🤣🤣🤣Usiniache mchana kweupe please... Subiri giza liingie......wananipenda so hawatopenda kuona naaibishwa.Tuliza ball.Afu wewe Mwachiluwi wewe🙄 ....hbd kwako cute wangu Bantu Lady ...ishi sana
Naomba nipumzike ili kukikucha niwafahamu wabaya wangu🤣🤣🤣Usiniache mchana kweupe please... Subiri giza liingie......wananipenda so hawatopenda kuona naaibishwa.Tuliza ball.Afu wewe Mwachiluwi wewe🙄 ....hbd kwako cute wangu Bantu Lady ...ishi sana
🤣🤣🤣🤣 ukinichuna mm nakuanzishia uzi et 10k🤣🤣🤣Jamani🤭
Nipe Location tu!!Akhsaaannteeeeeeeehhh!! Mambo si ndo hayo sasa!🕺😊!!
🤣🤣🤣🙆Naomba nipumzike ili kukikucha niwafahamu wabaya wangu
Tena tuogope namtafutia bint mbich humu humu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aisee,Sina hamu na vishemeji🙌