Happy birthday Bantu Lady

Happy birthday Bantu Lady

Nimesema nakuja WhatsApp bhana....utachukuaje mwingine ingali mie ni WA kufa na kuzikana.I told you nitakujali na kukulinda...nitajishusha na kufanya u feel safe....am your second mama.... don't you remember my words....please am yours so be cool 💕
Nijifeel safe?how ?
Et mama?
What about hizo danga's?

Umeukata Kata Moyo wako kama birthday cake ,kipande cha Zulu man kimepewa mtu mwingine

Acha Kwanza tusheherekee birthday 🤐
 
Nijifeel safe?how ?
Et mama?
What about hizo danga's?

Umeukata Kata Moyo wako kama birthday cake ,kipande cha Zulu man kimepewa mtu mwingine

Acha Kwanza tusheherekee birthday 🤐
🤣🤣🤣Usiniache mchana kweupe please... Subiri giza liingie......wananipenda so hawatopenda kuona naaibishwa.Tuliza ball.Afu wewe Mwachiluwi wewe🙄 ....hbd kwako cute wangu Bantu Lady ...ishi sana
 
Back
Top Bottom