Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Umechezea sailing kwenye maji🤣🤣 Afu simu yangu ni mbovu kweli😥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechezea sailing kwenye maji🤣🤣 Afu simu yangu ni mbovu kweli😥
😳Leo ya Bantu bhana...unanioverdose🤣🤣🤣🤣 nmebadilisha imekuwa leo
Mfyyuuu siku zote najiuliza mbona mjomba wangu hawajamuachia tuuu kumbe umejificha huko kwa babu mwehu!!🤩🤩🤩😘😘😘!!Na mie shangazeee 🫣🫣.. Nikae tu nyuma yenu kuwalinda
Ushemeji nawe ufe🤨Tena uku alikuwa analishwa uji
Tumekusamehee sasaUshemeji nawe ufe🤨
Ndo bas tena 😭Umechezea sailing kwenye maji
Aya itakuwa kesho😳Leo ya Bantu bhana...unanioverdose
Tushakusamehe usijar tenaNdo bas tena 😭
SitakiTushakusamehe usijar tena
Sitaki mniacheeTumekusamehee sasa
Zulu man msamehe asije jinyonga nikaenda segereaUnalijua hasira ya wanyakyusa? Niacheee 😖
Bado unataka kuendelea na mshamba_hachekwiSitaki mniachee
😅😅 Kama kawa hata nzi hakatishiii yani.. ulinzi na usalama kama wote... huku tukiendele kula vibe za birthday Girl Bantu Lady wa ukweli, malaika wa roho asie na bayaa wala hilaaa.. aishi tu yani maisha marefu akitaka na mika yangu namkopesha 😅😅😅...Mfyyuuu siku zote najiuliza mbona mjomba wangu hawajamuachia tuuu kumbe umejificha huko kwa babu mwehu!!🤩🤩🤩😘😘😘!!
Miss you sanaaa mjombaaaa!!
Kam kauwaa kamati ya ulenzeee tunakutegemeaaa!! Nyuma hapiti mtyuuu mjomba umesimama imaraaa💪🕺😊😊!!
🤣🤣🤣🤣🤭Bado unataka kuendelea na mshamba_hachekwi
ubarikiwe bintiSichunagi wanaume mie....si ungeona wanakuja kulalamika walivyo na midomo mirefu🙄