Happy birthday Bantu Lady

Happy birthday Bantu Lady

Hivi unajua kila nikionaga comment yake picha yake inanijiaga πŸ˜†πŸ˜†

Najikuta namwaga makopa tu bro, daah tonnia mzuri bwana weeee

Sipati picha alivyokuwa binti khaaa one of a kind kila idara amekamilika,

Basi tu yaani
Hebu tubless kwaniii ankoo Tonniah mshamba tu hana lolote!
Binadamu wote ni wazuri Anko anguu fanya kwanza blessings mchana wangu ukae vizuree hapaa!!
 
Mi nilipata 1 ya 8 F6 nina E ya physics lakini usiniulize masomo mengine nina ngapi 🀣🀣🀣🀣🀣🀣 kichwa changu ni Mungu pekee anakijua
Wee kumbe kwa head uko vizure mnywanii hongera sana!!
 
Blessings zimeisha mpaka siku ingine πŸ™‚πŸ™‚πŸ˜†πŸ˜†
Weee usintanieeee ankoo unanidindiajee mchana kweupeeee kabesaaa acha hizooo ankoo akee fanya kama unabless one minute unafuta!
 
Nyinyi mlishindikana kwa kweli. Mlipasua lakini form six?
Tulikula suspension mbantu mpaka siku ya pepa!

Hata tulivyorudi shule wanafunzi wenzetu wakaambiwa wasijichanganye na sisi tukawa tunatokea kijijini 4km away kuja kupiga pepa na kurudi kijijini

Mungu alivyomwema wale wasumbufu ndo tulikula vijiti vikali hatari!! Chino Huyo nikaenda ungana na sumbai pale hall 5.
 
Asante ila A level sio mchuzi aseee.

Nilipitia hell 2021 nikiwa F5 acha tu 2022 F6 ilikuwa blessings kwangu wengi tuliponea dakika za majeruhi 🀣🀣🀣🀣
Yeahhh dakika za majeruhi ukikomaa unatoboaa mbona hongera sana!! Ndio umedinda kuniambia unasomea kozi gani ankoo??πŸ€”πŸ€”πŸ˜‘
 
Tulikula suspension mbantu mpaka siku ya pepa!

Hata tulivyorudi shule wanafunzi wenzetu wakaambiwa wasijichanganye na sisi tukawa tunatokea kijijini 4km away kuja kupiga pepa na kurudi kijijini

Mungu alivyomwema wale wasumbufu ndo tulikula vijiti vikali hatari!! Chino Huyo nikaenda ungana na sumbai pale hall 5.
Bora miaka hio mlikua wakorofi afu kichwani zimooo! Sikuhizi sasa mikorofi ilio mingi empty setπŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘!!
 
Tulikula suspension mbantu mpaka siku ya pepa!

Hata tulivyorudi shule wanafunzi wenzetu wakaambiwa wasijichanganye na sisi tukawa tunatokea kijijini 4km away kuja kupiga pepa na kurudi kijijini

Mungu alivyomwema wale wasumbufu ndo tulikula vijiti vikali hatari!! Chino Huyo nikaenda ungana na sumbai pale hall 5.
Hongera sana, mara nyingi watundu shuleni wengi wao hutoboa paper na wakati mwingine maisha. Ule utundu na ujanja wao huwasaidia pia.
 
Hongera sana, mara nyingi watundu shuleni wengi wao hutoboa paper na wakati mwingine maisha. Ule utundu na ujanja wao huwasaidia pia.
Wa miaka hio sio hawa watukutu wa leo sikuhizi watoto hawasomiii wanakalia ukorofi tu! Zama zimebadilika sana dear!
 
Bora miaka hio mlikua wakorofi afu kichwani zimooo! Sikuhizi sasa mikorofi ilio mingi empty setπŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘!!
Watoto wa sikuhizi empty Sana pepa zenyewe mnawagawia rahisi lakini full kuchora katuni kwa pepa.

Siku navyofata gamba mkuu ananiambia Chino umeacha utundu hahaha nikawa nacheka tu

Second master nilikutana na ud nilivyokua mwaka wa nne alikuja ongeza kisomo
 
Yaani πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anazijua mwenyewe. Hivi ufukunyuku sijui aliishia wapi? Au UE ilimbana sijui.
Sikuhizi ameacha ukorofi ameokoka amekua mtoto mzuri 😊😊!
 
Watoto wa sikuhizi empty Sana pepa zenyewe mnawagawia rahisi lakini full kuchora katuni kwa pepa.

Siku navyofata gamba mkuu ananiambia Chino umeacha utundu hahaha nikawa nacheka tu

Second master nilikutana na ud nilivyokua mwaka wa nne alikuja ongeza kisomo
Yanii sikuhizi Mitihani ni myepesi sana majibu waziwaziiii.... hao watoto sasa akili zao wanazijua wenyewe tu!

Hahahaaa...Sekond hapo lazima mlikua marafiki;
 
Hongera sana, mara nyingi watundu shuleni wengi wao hutoboa paper na wakati mwingine maisha. Ule utundu na ujanja wao huwasaidia pia.
Mshua nilimla chenga ya mwili akaniambia hakikisha unajaza sauti ndo chuo ambacho hakina maandamano au mzumbe nikamuitikia tu!

Nikajisemea Yani nisiendee ishi njia panda ya ulaya kipindi icho mjini nakuja kwa kuvizia vizia
 
Back
Top Bottom