Happy Birthday bestito Dotto Mnzava

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Hello Wapendwa,

Ni siku ya furaha, ni siku ya kukumbuka kwa mpendwa wetu, rafiki yetu na kipenzi chetu, mtu wa muhimu kwetu, Dotto Mnzava kwa kuzaliwa kwake. Nasi kwa pamoja tumtakie afya na maisha marefu afikie miaka 100 ya kuishi akimtukuza Mungu.

Happy birthday Dotto Mnzava

=======

Asanteni wakuu kwa kunipa pongezi zenu, nazithamini sana wala siwezi kuwalipa kwa chochote zaidi nawaombea muwe na maisha marefu na Bwana awabariki.
Asante.

 
Last edited by a moderator:
Asanteni wakuu kwa kunipa pongezi zenu, nazithamini sana wala siwezi kuwalipa kwa chochote zaidi nawaombea muwe na maisha marefu na Bwana awabariki.
Asante.

 

Attachments

  • Mnzava.jpg
    24.9 KB · Views: 94
  • Dotto.jpg
    10.6 KB · Views: 150
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…