figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mbona Toka zamani namuambiaga hivyo,na ana base moja zuri sana,ha ha ha sema kuna sehemu anakosea tu akiirekebisha ananichukua mazima figaniga una nini lakini leo mbavu zangu mie
Kipaji ushamkataaa. Kwahiyo umempendea base. Mbona akikuita pale Kontena unajifanya busy? Kama kujirekebisha kashajirekebisha zamani. Nenda akuchukue japo nusu tu. Nashangaa unavyombania kitu kidogo.
Kipaji situka. Huyu anakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Kama kweli mwambie aje coz huna baya lolote. Kwanza hakuna mtu mstaarabu kama Kipaji. Muulize Madame B