cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaanulivo na hekaheka mia kidogo unakumbukaje wee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaanulivo na hekaheka mia kidogo unakumbukaje wee
Kwa kuwa umesema mapema kuhusu Ulanzi, ngoja nimwagize jirani Mama Matembo atuandalie hizo dumla 3.Ahsanteee sanaa Gran pah!! [emoji120][emoji120][emoji120]
Naomba niandalie na ulanzi dumla 3, nilewee had baas.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsanteee sana, [emoji120][emoji120]Heri ya mfanano wake wa kuzaliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu zawadi inijie ikiwa full.Udugu zawadi anatoa cantry ndio namsikilizia hapa tukujaze [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila lazima nikate ya ganji
[emoji482][emoji482] eeh ndiwoooo!!!Enjoy to the fullest shosss [emoji8]wewe treinaaahhhh! Hunaga baya na mtu best akee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa shem, maisha hayataki nitulie, mwendo wa kukimbizana na jua tyuuh.Ila coca bana, kwa hiyo ndio umekuja sasa hivi?
Btw happy bday
😂😂😂 naomba airudieKakimbiza wengi sana sikuhizi wanachungulia nakupita kimya kimya tu Rabbitus ni hatareeee...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu JF nshawazoeaa, mbna hawajawahi nisumbua, wao ndo wanapoteanaaa.
😂😂😂Huyu huwa ni mjanja mjanja sana, unafikiri alikuwa hayupo?Yaniii sijui alikua anakazwa tangu asubuhi kweli mxxxieeeeeeeeww zake 😊! cocastic 🤠
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama matembo yupi? Naemjua huyu mcharukoo khaaahKwa kuwa umesema mapema kuhusu Ulanzi, ngoja nimwagize jirani Mama Matembo atuandalie hizo dumla 3.
Hilo limeisha Mjukuu, sema lingine [emoji847]
Seriously?hata maneno ya mwisho hujaona?kukuombea hapo mwisho upate matako makubwa hujaona?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ahsanteee!! Ila lugha sasa daah.
Treeeenaa 👌Ni yeye tu hakuna mwingineer... Hurrraaayyy kwa Mj akeee hurray!😊