Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Goodmorning rafiki yangu...Aiseee una mawazo jaman
Leo tufungue thread yetu bana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goodmorning rafiki yangu...Aiseee una mawazo jaman
Happybirtday kwa mwanetu...hahahaha haya babu
Goodmorning rafiki yangu...
Leo tufungue thread yetu bana...
Basi nimeghairi mpaka umalize kupika...Goodmorning too best wangu
Ukifungua utachat alone,siku ina pilika pilika hii
Happybirtday kwa mwanetu...
Hongera kwa baba na mama kwa kukuza.
Mtoto wetu ana umri gani sasa?
Hapo kwenye picha n me au ke!!?Naam
Acha kumbania swahiba wangu... fungua nyonga hiyo...asante kwa niaba ya pampula mwenzako !dogo anaanza 5yrs !watu na nyoita zetu za kijani bwana wee ! na hana mdg wake !olalaaa
Acha kumbania swahiba wangu... fungua nyonga hiyo...
Basi nimeghairi mpaka umalize kupika...
Tafazali niwekee juisi ya ukwaju...
Watoto wawili hawatoshi bhana...teh teh unacheza na kipindi cha mimba !hapana !
Hahaha!Hewalaaa hata ya pilipili ntakuwekea kiroho saafiii
Happy birthday to u'r mamahongera umezaliwa siku moja na mama yangu [HASHTAG]#BDAY[/HASHTAG] to u Guys
Mungu amjalie kila la kheri mwanao mamiihappy bdy my gal !umezaliwa tar moja na mwanangu lol! Mungu akujaalie heri