Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Mweeh divorce shall never be my portion IJNHs ni dada yangu now ameachika sasa hv jimbo liko wazi wahuni pambanieni, mhuni awe tayari kulea dada na wajomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mweeh divorce shall never be my portion IJNHs ni dada yangu now ameachika sasa hv jimbo liko wazi wahuni pambanieni, mhuni awe tayari kulea dada na wajomba
Relax bana. Kuna mdogo wa kumfanyia hivyo dada ake kweli?Bro hata kama una nfahamu, ila self respect ni kitu muhimu Sana.
👉Haumfaidishi mtu kwa taarifa za hovyo na kijinga.
Wewe si IB jamani. 🤣🤣🤣Jamani Hilo jina, mta fanya nipigane🤣😃😀.
👉Nina hati miliki kutoka brela 🤣😂
Hhahahahah ahsante sana jamaniMara paaaap, kumbe ni mkaka😀😀😀😀😀 hepi besidei kwako (bila kutaja jinsia)
Siku hizi hatutumii chaki tunatumia marker pen. Wewe fanya kuniletea vitu vya kulaWewe yako lini? Nitakununulia box la chaki na kitambaa cha kufutia ubao.
My rival una kiherehere Cha mwendo Kasi🤔🤒Siku hizi hatutumii chaki tunatumia marker pen. Wewe fanya kuniletea vitu vya kula
Usiache kuweka namba ya simu tukutumie zawadi ya maparachichi, nkamu.Thank you so much nkamu,🥰🥰🥰
Kuanzia I I'me sajiliwa, so mtulie😂🤣🤣Wewe si IB jamani. 🤣🤣🤣
Acha kupiga kelele kwenye besideiMy rival una kiherehere Cha mwendo Kasi🤔🤒
When I say my favorite rival is an empty set, I mean it for sure.Usiache kuweka namba ya simu tukutumie zawadi ya maparachichi, nkamu.
Vitu vya kula sipendi kutoa kama zawadi. Ukila within hours utanisahau. Sema kingine.Siku hizi hatutumii chaki tunatumia marker pen. Wewe fanya kuniletea vitu vya kula
Unataka unimalizie kingereza changu January nikose cha kufundishia😏😏When I say my favorite rival is an empty set, I mean it for sure.
Basi ninunulie gari , aina utakayopendaVitu vya kula sipendi kutoa kama zawadi. Ukila within hours utanisahau. Sema kingine.
Happy birthdayAcha basiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi ninunulie gari , aina utakayopenda
The competition you give me is so stiff, that's Why each time I wanna stick inside yah. HannahUnataka unimalizie kingereza changu January nikose cha kufundishia😏😏
Hivi vi toy?Nataka gari kubwaView attachment 2849108
Chagua hapo umependa ipi kwenye hii yard?