Happy Birthday Davet[emoji847]

Happy Birthday Davet[emoji847]

Daah aliyemficha davet shuuaiin zake mpaka keki yangu hapo inaanza yeyuka. Hawa a u mjukuu wangu in andjul's voice[emoji23]
Hahahah sikufichwa bhana, nyie simliniambia nirudishe simu ya watu
 
Uzinduzi part II.

HBD Bro. Mungu Aendelee kukubariki wewe, wapendwa wako pamoja na ukoo wenu wote. Heshima ya ukoo lazima iwepo. Congrats bro [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Hahahah! Amu hapi tu sii yu hiya bro
Tubarikiwe sote tupewe na nguvu za kuendelea kutunza heshima ya koo zetu
Eti uzinduzi 😀😀
 
Kawaida yake hiyo. Unafikiri kuzinduliwa mchezo? Inabidi uwe na roho ngumu espeshale kama ulikuwa umefanya daivesifikesheni ofu yua investimentisi (ifu yu no whataimini). Atarudi tu na maneno kibao [emoji16][emoji16][emoji16]
#BringBackBaeWaUzi# [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀........ Mixer Hashtag daah
 
Aaah kumbe uliirudisha aisee nimekosa uhondo nilishaajiri bwana hacker aje apekue tupate picha kamili ya mhusika
Hahahah sikufichwa bhana, nyie simliniambia nirudishe simu ya watu
 
Ninge na Carb walinishikia bango kuhusu ile Beaut plus nikaona isiwe taba wacha nirudi kwenye kitochi changu
Aaah kumbe uliirudisha aisee nimekosa uhondo nilishaajiri bwana hacker aje apekue tupate picha kamili ya mhusika
 
[emoji23][emoji23][emoji23]camera gani ile ilipoteza hata uhalisia wa jeans bora umeirudisha
Ninge na Carb walinishikia bango kuhusu ile Beaut plus nikaona isiwe taba wacha nirudi kwenye kitochi changu
 
Back
Top Bottom